Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Wakuu Mzigo wote Huu hapa wa Majibu Ya Zitto Kwa kamati Kuu ya CHADEMA,Ni majibu ya Kisomi,yenye Uangavu,Yenye taswira ya Mtu mwenye Kuona Mbali,Ni majibu Yanayowaacha Mbowe na Slaa(Team) midomo wazi,Ni Majibu ambayo Wajumbe wa baraza kuu wakiyasoma/Kuyasikia basi Zitto atawabwaga Mbowe na Slaa Vibaya sana.
Kumbe utetezi anao! Na kilichomfanya akimbilie mahakamani ni nini? Mi namshauri hata akitaka aendelee kuwa CDM ameshanjea kambi aondoke akaanzishe chama chake hafu afanye siasa kama nyota inang'aa atafanikiwa tu lakini kama nyota yake ilikuwa iking'aa kwa kushirikiana na bbadhi ya Viongozi wa Chama tawala atafulia kama alivyofulia Mrema