Habari za muda huu wadau,
Samahani sana naomba msaada wa setting kwenye simu yangu ya Infinix Hot 8 simu yangu sms zinaingia kimya kimya bila kutoa sauti (sound notification) naombeni mnisaidie sijui nakosea wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo chances nyingi lakini tumeshindwa kuzitumia, sub zinafanyika too late aisee ila still trong [emoji110][emoji110][emoji110]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama inavyojieleza hapo kwenye heading naombeni msaada memory card yangu nashindwa kuhamisha files kutoka kwenye PC kwenda kwenye memory, au nikitaka kufuta baadhi ya files kwenye memory inaniandikia "NO PERMISSION TO DELETE"
MSAADA PLEASE.
Naomba msaada ndugu zangu ninahitaji kudowload season mpya ya prison break season 5 iliyotoka mwezi huu wa nne, lakini sifahamu naipata vipi naomba mwenye ujuzi wa hili jambo anifahamishe kupitia uzi huu
AHSANTENI [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Ajira ni kwa walimu wa sayansi na hisabati tu kwa mujibu wa tanazo la katibu mkuu na kauli ya prof ndalichako ili kupunguza uhaba wa waalimu wa sayansi mashuleni, hapo unaweza kujiongeza tu kwamba walimu wa arts ni wengi mashuleni hivyo wanaziba kwanza gap kubwaa la sayansi simnajua serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.