Brayson Minja
Member
- Aug 22, 2017
- 53
- 38
Leo bahati mbaya nimeformat storage ya pc yangu, naomba msaada kwa yoyote anaejua jinsi ya kurecover hizo data zirudi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi mada zipo juu ya uwezo wako.Mwanaume na status za kuweka picha wapi na wapi?
Swa bro asant sanaTumia data recovery software, jaribu software inaitwa EaseUs data recovery ambayo ipo cracked getintopc.com , make sure una external kwa ajili ya kuweka recovered data. Note data Hazitokua na majina ya kueleweka pia chunks files nyingi zitarudi
Ok
Hapana, sio touch. Natumia inbuilt mouse ya kwenye keybord. PC inafanya kazi sawa sawia ila tu hiyo function ya kuscroll kwa vidole viwili ndio imegoma kabisa kurudi.Ni touch? Na unashindwa kuscroll pekee au hata kuopen application nyingine?
Jaribu nenda kwenye settings search mouse response kitu kama hicho.
Habari za muda huu wadau,
Samahani sana naomba msaada wa setting kwenye simu yangu ya Infinix Hot 8 simu yangu sms zinaingia kimya kimya bila kutoa sauti (sound notification) naombeni mnisaidie sijui nakosea wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app