Historia ya Ligi ya Mabingwa ya CAF (CAFCL) ni kama ifuatavyo:
Kuanzishwa (1964): CAFCL ilianzishwa mwaka 1964 na kuitwa awali Kombe la Vilabu Bingwa Afrika. Lengo lilikuwa kuwakutanisha mabingwa wa ligi za kitaifa barani Afrika.
Muundo wa Awali: Katika awamu zake za mwanzo, mashindano...
Habari zenu wanajamvii,
Mimi ni blogger mchanga, namiliki blog yangu hii www.binruwehy.co.tz kwaajili ya habari za michezo lakini ninashangazwa na jambo hili kwenye upande wa views kuna wakati nilikuwa natumia template fulani inaitwa korve ka siku nimekuwa nikipata views elfu 20 mpaka 50...
haya wazee wa uwekezaji code nne zimetoka kwaajili ya leo cheki hapa maelezo kamili KURUNZI YA BACK BENCHA, WAZEE WA KUWEKA MIZIGO CODE HIZI 4 USHINDI 99%
wazee wa pawabet kuna jambo lenu huku kuna mikeka ya leo Tarehe 28 ambayo keho tutajua mbivu na mbichi bonyeza hapa WAZEE WA KUWEKA MIZIGO, KURUNZI YA BACK BENCHA HII HAPA TUANZE SAFARI - Bin RUWEHY SPORTS hakikisha unahakiki mikeka yako bora upunguze timu kuliko kuongeza tutapeana mrejesho hapa...
Kwa anaetaka code hizi hapa mikeka 7 ya kibabe zinatumika kwa pawabet tu link hii hapa WAZEE WA KUWEKA MIZIGO CODE 7 HIZI HAPA KWAAJILI YAKO BET KISTAARABU
Baada ya Simba kushindwa kufua dafu ugenini Al Ahly wapata nafasi ya goli la ugenini kanuni yaibeba Al Ahly mpaka nusu fainali ambapo anakutanishwa na wamba wa Afrika Kusini.
Mamelodi waibuka kidedea baada ya kumpiga mpinzani wao bao 2-0 katika mchezo uliopita, Jana Mamelodi walishindwa kuona...
Habari wakuu kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nime publish app ya blog yangu katika soko la google play store tangu asubuhi lakini mpaka sasa jioni haijakuwa published ipo draft na status yake ni kuwa in review. Je inaweza kuchukua muda gani kuwa published msaada, maana kipindi cha mwaka 2017...
Mi sijapanga bajeti sababu nilijua dev ndio atanipa maelezo yalivyo ndio maana nikaweka na link ya blog pamoja na maelezo kiasi ili dev ajue ugumu wa kazi au wepesi ili ajue gharama itakayohitajika
Habari waungwana nina blog yangu katika platform ya blogger inahusiana na michezo nahitaji app blog yenyewe hii hapa www.binruwehy.blogspot.com dm iko wazi pia mtengenezaji wangu namuomba awe na demo japo moja tu ili niweze kujiridhisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.