Abu Haarith
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 314
- 165
Baada ya Simba kushindwa kufua dafu ugenini Al Ahly wapata nafasi ya goli la ugenini kanuni yaibeba Al Ahly mpaka nusu fainali ambapo anakutanishwa na wamba wa Afrika Kusini.
Mamelodi waibuka kidedea baada ya kumpiga mpinzani wao bao 2-0 katika mchezo uliopita, Jana Mamelodi walishindwa kuona goli la wapinzani wao na kuambulia matokeo ya 0-0 ndani ya dakika 90.
🇪🇬 AL AHLY 🆚 MAMELODI SUNDOWNS 🇿🇦
Nani Kutinga Fainali ..!! 👇
Pia soma: Natamani sana kuiona nusu fainali ya AFL kati ya Al Ahyl vs Mamelodi Sundowns
Mamelodi waibuka kidedea baada ya kumpiga mpinzani wao bao 2-0 katika mchezo uliopita, Jana Mamelodi walishindwa kuona goli la wapinzani wao na kuambulia matokeo ya 0-0 ndani ya dakika 90.
🇪🇬 AL AHLY 🆚 MAMELODI SUNDOWNS 🇿🇦
Nani Kutinga Fainali ..!! 👇
Pia soma: Natamani sana kuiona nusu fainali ya AFL kati ya Al Ahyl vs Mamelodi Sundowns