Wana Jamii Forums Salaam. Natumai kila mtu ameshakifuta vumbi kichinjio chake tayari kwa ajili ya kesho.
Nimekuwa nikiona matangazo mbalimbali ya watu kuagiza Bidhaa mbalimbali toka nje ya nchi. Kiukweli yale matangazo yamekuwa yakivuta attention ya watu na wengine wamekuwa wakijitosa na...
Habari za muda huu waungwana.
Kuna vishilingi mbili nimevipata sehemu kwa haraka haraka nimefikiria kuviwekeza kwenye uwakala wa betting.
Kimsingi kuna kampuni nyingi za betting Tanzania ila mimi ningependelea kuwa wakala wa Meridian.
Naomba kwa anayefahamu utaratibu wa kupata hiyo huduma...
Mimi ni shabiki kindakindaki na mwanachama aliyetukuka wa Simba Sports Club.
Nikiwa kama shabiki na mwanachama wa Club yetu pendwa ningependa kuwa wakala wa kuuza jezi na kugawa kadi mpya za Simba huku mkoani kwetu.
Kama kuna mwenye kufahamu utaratibu wa kuwa wakala wa Club yetu pendwa...
Habari za jumapili wandugu.
Kama heading inavyojieleza nimekuwa nikipokea meseji nyingi toka Tigo. Kwa siku naweza pokea meseji zaidi ya mia mbili toka namba 100. Nimejaribu kuwasiliana nao kuhusiana na hili tatizo ila sijapata msaada wa kueleweka.
Naomba yoyote mwenye kujua jinsi ya...
Ndugu wana jamvi, salamu.
Nina laptop aina ya dell yenye windows 10 pro inatumia bando vibaya saana. Nimejaribu ku deactivate updates zote zinazoweza kufanyika automatically lakini sijafanikiwa kutatua tatizo.
Mara ya mwisho nimenunua 2GB za data lakini zimeisha ndani ya nusu saa kwa kuperuzi...
Habari wana jamvi. Juzi katika mizunguko yangu mjini nilikutana na binti mmoja hivi mwanachuo. Kwa kumtazama kwa haraka haraka nikagundua hakuwa sawa. Kibinadamu nikamsogelea nikaanza kumsaili japo nwanzoni alitia ngumu kidogo. Badaye alinieleza kila kitu (kuhusu kutokuwa kwake sawa) nikaamua...
Habari za Mihangaiko wandugu,
Nimekuwa nikisikia shuhuda mbalimbali toka kwa watu kuhusu Bima Kubwa ya Gari ila nimeshindwa kupata muunganikano mzuri wa faida na hasara za Hii Bima.
Je, ni kweli ukiwa na Hii Bima Kubwa Gari yako ikipata ajali au tatizo Kubwa unalipwa na shirika la Bima...
Husika na mada tajwa hpo juu.
Baada ya kuwa nimetapeliwa kwa kubadilishana na mtu simu fake, nimejipiga piga hatimaye nimepata laki nane ambayo nimepanga nikachukue simu original dukani.
Naomba kwa wale wanaofahamu simu nzuri kwa kuzingatia bajeti yangu wanisaidie kufanya uchaguzi.
Sibagui...
Jamani wana IT naombeni msaada wenu tena. Nina simu ya samsung galaxy s5 ambayo ina imei mbili tofauti. Yaani imei iliyopo nyuma ya simu ni tofauti na imei inayoonekana niki'dial *#06#.
Mwanzoni nilijua hii simu ni fake ila nimeshajaribu kutumia mbinu mbalimbali za kutambua simu na zote...
Natumia S6 edge. Nina kama wiki hivi tangu nikose access ya Play store. Kila nikijaribu kuifungua inaishia kunambia 'Couldn't sign In'. Naomba yoyote mwenye ufahamu kuhusu hili anisaidie.
Natanguliza Shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.