Msaada: Jinsi ya Kubadilisha IMEI

Rais Wa Malofa

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
683
782
Jamani wana IT naombeni msaada wenu tena. Nina simu ya samsung galaxy s5 ambayo ina imei mbili tofauti. Yaani imei iliyopo nyuma ya simu ni tofauti na imei inayoonekana niki'dial *#06#.
Mwanzoni nilijua hii simu ni fake ila nimeshajaribu kutumia mbinu mbalimbali za kutambua simu na zote zimeitambua kama simu original.
naomba kwa yoyote anayefahamu anisaidie jinsi ya kukata hii imei inayoonekana niki'dial *#06# na badala yake ionekane imei iliyopo nyuma ya simu.
Natakunguliza shukrani.
 
Kwani hiyo imei ina tatizo gani au inafanya simu yako isiweze kufanya kazi...?.

Ulisema umenunua mkononi sasa kama iliibwa ika-blokiwa hiyo imei unayotaka isome ambayo ipo huko nyuma je ukiiweka hiyo ukakuta ipo kwa locked utarudi tena kuomba msaada...?

Hiyo imei iliyopo unaibadili kwa nini kama umeikuta hivyo ndugu...?
 
Kwani hiyo imei ina tatizo gani au inafanya simu yako isiweze kufanya kazi...?.

Ulisema umenunua mkononi sasa kama iliibwa ika-blokiwa hiyo imei unayotaka isome ambayo ipo huko nyuma je ukiiweka hiyo ukakuta ipo kwa locked utarudi tena kuomba msaada...?

Hiyo imei iliyopo unaibadili kwa nini kama umeikuta hivyo ndugu...?
Broo hii simu kuna mtu tulibadilishana.
Kosa nililolifanya sikukagua Imei wakati wa kubadilishana na jamaa mwenyewe nikimpigia hapatikani.
Nataka nibadili imei ili kukwepa mkono wa TCRA make nahisi june wataifunga, halafu vilevile Google play haifanyi kazi vizuri na siwezi ku'upgrade.
 
Broo hii simu kuna mtu tulibadilishana.
Kosa nililolifanya sikukagua Imei wakati wa kubadilishana na jamaa mwenyewe nikimpigia hapatikani.
Nataka nibadili imei ili kukwepa mkono wa TCRA make nahisi june wataifunga, halafu vilevile Google play haifanyi kazi vizuri na siwezi ku'upgrade.[/QUOT
 

Kubadili imei ni kosa pia imei za samsung kubadilisha lazima usome vizuri kwani kuna kitu kinaitwa baseband ama efs lazima uvijue umeongelea kuhusu playstore km haifanyi vizuri ina bidi u flash simu yak
 
Kubadili imei ni kosa pia imei za samsung kubadilisha lazima usome vizuri kwani kuna kitu kinaitwa baseband ama efs lazima uvijue umeongelea kuhusu playstore km haifanyi vizuri ina bidi u flash simu yak
Thanks broo. Ngoja nijaribu kumcheki mtaalam wa haya mambo ya kuflash.
 
Yani hapo mpaka ui-root install exposed, then xposed imei changer. Ingekuwa ni mtk ungeroot tu halafu unatumia mobile uncle. Lakini hiyo mpaka utumie hiyo process hapo, na unatakiwa ujue unachofanya au utaifanya simu yako kopo(IYO NI WARNING USINILAUMU MIMI IKIWA KOPO) :p
 
Yani hapo mpaka ui-root install exposed, then xposed imei changer. Ingekuwa ni mtk ungeroot tu halafu unatumia mobile uncle. Lakini hiyo mpaka utumie hiyo process hapo, na unatakiwa ujue unachofanya au utaifanya simu yako kopo(IYO NI WARNING USINILAUMU MIMI IKIWA KOPO) :p
do not try at home ni kweli itakuwa kopo km ni samsung utaua baseband simu yako itakuwa imei null
 
Kubadilisha IMEI namba ni kosa kisheria, ingawa sidhani kama inawezekana maana ni digits ambazo zipo kwenye database za mawasiliano za kimataifa. So kutaka kufanya hivyo ni kama kutaka kukitakatisha kitu kisicho halali.
Umesikia adhabu yake iliyotangazwa na TCRA kama ukipatikana na hatia??? Up to 15 years or 30 mil or vyote pamoja.
So, jipange tu kaka
 
Kubadilisha IMEI namba ni kosa kisheria, ingawa sidhani kama inawezekana maana ni digits ambazo zipo kwenye database za mawasiliano za kimataifa. So kutaka kufanya hivyo ni kama kutaka kukitakatisha kitu kisicho halali.
Umesikia adhabu yake iliyotangazwa na TCRA kama ukipatikana na hatia??? Up to 15 years or 30 mil or vyote pamoja.
So, jipange tu kaka
Nikosa kisheria je hawa TCRA wamekaa na wadau ambao ndiyo sisi tunao jua kubadili hizo imei maana hizi imei huharibibika inatakiwa (to rebuild imei) na siyo kubadili(not to change imei)
 
Jamani wana IT naombeni msaada wenu tena. Nina simu ya samsung galaxy s5 ambayo ina imei mbili tofauti. Yaani imei iliyopo nyuma ya simu ni tofauti na imei inayoonekana niki'dial *#06#.
Mwanzoni nilijua hii simu ni fake ila nimeshajaribu kutumia mbinu mbalimbali za kutambua simu na zote zimeitambua kama simu original.
naomba kwa yoyote anayefahamu anisaidie jinsi ya kukata hii imei inayoonekana niki'dial *#06# na badala yake ionekane imei iliyopo nyuma ya simu.
Natakunguliza shukrani.
Hapa uliuziwa mbuzi kwenye mfuko wa rambo .
 
Back
Top Bottom