Nahitaji Simu Bajeti Yangu 800k

Nahitaji Simu Bajeti Yangu 800k

Rais Wa Malofa

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2015
Posts
688
Reaction score
796
Husika na mada tajwa hpo juu.
Baada ya kuwa nimetapeliwa kwa kubadilishana na mtu simu fake, nimejipiga piga hatimaye nimepata laki nane ambayo nimepanga nikachukue simu original dukani.
Naomba kwa wale wanaofahamu simu nzuri kwa kuzingatia bajeti yangu wanisaidie kufanya uchaguzi.

Sibagui OS. Iwe windows, android au iOS sawa tu ila atleast iwe na kioo kikubwa cha display.

Mwaka ambao simu imetengenezwa atleast iwe kuanzia 2014.

Natanguliza shukrani.
 
Asante chief.. Vipi kuhusu iphone 6plus inawezekana ikawa inaendana ubora na hiz devices za samsung ulizotaja hapo juu?
Na vipi kuhusu bei yake?
 
TECNO hutaki tena mkuu, unapata kama nne maandroid yamo likioo likubwa n.k natumia TECNO H6 ya 2014 leo naenda mwaka wa pili sijaona tatizo wachina hoyeeeee!
 
Nenda Mobile Plaza kuna duka linaitwa Punga phone kuna simu nzuri me nimetoka hapo juzi kuchukua Sony Xperia Z3+ ni laki 8 ina warranty ya miaka miwili
 
TECNO hutaki tena mkuu, unapata kama nne maandroid yamo likioo likubwa n.k natumia TECNO H6 ya 2014 leo naenda mwaka wa pili sijaona tatizo wachina hoyeeeee!
Chaa!Kwenda kule....Watanzania hoyeeee!
 
Nenda Mobile Plaza kuna duka linaitwa Punga phone kuna simu nzuri me nimetoka hapo juzi kuchukua Sony Xperia Z3+ ni laki 8 ina warranty ya miaka miwili
Hiyo mobile plaza iko wapi mkuu kuna jamaa yangu kanunua simu hapo kwa huyo huyo punga phones htc bei poa.
 
Daaah haya maduka nayo yawe yanaangalia majina nn kujiita punga sasa.punga si shoga??
 
Back
Top Bottom