Search results

  1. GeniusBrain

    Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

    Mshana wakati mwingine huwa tunashindwa kukuelewa wewe ni jinsia gani
  2. GeniusBrain

    Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

    Unatafuta Kiki wewe huna lolote. Huku JF si sehemu ya kutafuta kiki nenda FB na Insta
  3. GeniusBrain

    Kuna haja ya Rais kuchunguza mchakato wa CRDB kushinda tenda ya kulipa mishahara ya serikali

    Mtoa mada yaonyesha umetumwa na NMB na wamekununua kwa bei rahisi sana. Mafanikio ambayo Dr Kimei ameyafanya kwenye nchi hii ni makubwa sana na ameonyesha uzalendo na mapenzi kwa nchi yake. Hivi karibuni Benki ya CRDB imepewa tuzo ya kuwa Benki namba moja Tanzania na Kusini mwa jangwa la sahara...
  4. GeniusBrain

    Wenyeviti wa serikali ya mitaa wa Jimbo la Arusha mjini wametoa tamko la pamoja kutoshirikiana Gambo

    hakuna kitu hapo Zaidi ya kutojitambua na ubinafsi ili tukuone kambale kumbe ni mchicha mwiba
  5. GeniusBrain

    Kuunga mkono CCM ni laana. Ushahidi ni kundi la Ze comedy

    Usidhani wote waliishia darasa la saba kama ww. Nenda kasome ripoti ya kina Mwakyembe kuhusiana na Richmond utajua Richmond ni nani . Usiwe mvivu wa kusoma.
  6. GeniusBrain

    Kuunga mkono CCM ni laana. Ushahidi ni kundi la Ze comedy

    Upo dunia ipi usiye jua kuwa EL ni fisadi papa ?.
  7. GeniusBrain

    Je, Lissu anajijenga ili kugombea Urais 2020?

    Taifa hili Lissu hawezi kuliongoza kama vile ambavyo EL hawezi kuliongoza na katu hatokuwa kiongozi wa taifa hili. Kwenye familia zao sawa , ila sio Taifa hili.
  8. GeniusBrain

    Hali bado tete bei ya sukari

    Uko nchi ipi kijana ? sukari kilo ni Tshs 2,200 jana nimenunua dukani. Na hata nenda supermarkets mbali mbali haizidi bei ya Tshs 2,200/=. Au wataka sukari ipi upewe ?
  9. GeniusBrain

    Rais Magufuli, hawa watu wanakugombanisha na Israel

    Wewe hujawaelewa ndio maana waona ni walalamishi. Ukiwaelewa hoja zao hutokuwa na fikra hizo.
  10. GeniusBrain

    Rais Magufuli, hawa watu wanakugombanisha na Israel

    Watu kueleza hisia zao sio vibaya. Ni jambo lililo wazi kuwa Israel imekalia kimabavu ardhi ya Palestina. Hili halina ubishi na ni dhuluma ya wazi wazi dhidi ya taifa la Palestina. Kama kuna kikundi kimeamua kulisemea hili hakuna ubaya wowote ili mradi hawajavunja sheria za nchi.
  11. GeniusBrain

    Oparesheni UKUTA yapingwa, wake wa viongozi wa UKAWA wawasihi waume zao waachane na mpango huo

    Ben yanaposemwa ambayo huyapendi tulia na uyasikilize. Usiwe kila kinacho kuudhi basi kipuuzwe. Kwani Joyce sio mke wa kiongozi wa CDM ?. Penye ukweli kubali tu .
  12. GeniusBrain

    Oparesheni UKUTA yapingwa, wake wa viongozi wa UKAWA wawasihi waume zao waachane na mpango huo

    Mtu tayari ameisha amua kuwa ashikishwe ukuta ili yake yaende unadhani atamsikiliza mkewe ?
  13. GeniusBrain

    Sabodo chuo cha siasa CHADEMA kilikushinda utaweza kutoa trilion 10?

    Kwani alizowapa CDM ni kiasi gani ? CDM walikuwa wanatembea na kushangilia kama ma.zu.zu wakati wakipokea hela yake
  14. GeniusBrain

    Manispaa ya Ilala kupoteza mapato ya Tshs 31.2m

    Nalo si wazo baya mkuu
  15. GeniusBrain

    Manispaa ya Ilala kupoteza mapato ya Tshs 31.2m

    Mkuu kwenye masuala ya fedha hakuna fedha ndogo. Leo hii mhasibu akiiba hiyo Tshs 31.2m kwenye halmashauri si mtampeleka kortini kujibu mashitaka ya wizi, mbona hamsemi ni fedha kidogo tu ameiba akaachiwa ?. Hiyo hela yaweza kutengeneza madawati mangapi? hakuna fedha ndogo.
  16. GeniusBrain

    Manispaa ya Ilala kupoteza mapato ya Tshs 31.2m

    Mkuu mie sina gari , ukisoma kwenye thread yangu ni kukosekana kwa mapato hayo niliyotaja ambayo yako wazi kabisa. Nchi yetu hivi sasa ina tatizo la kupata vyanzo vya mapato, na hasa kwenye Halmashauri hali ni mbaya. Sasa kuachia fedha kama hiyo kupotea kama una mapenzi mema na nchi yetu ni...
  17. GeniusBrain

    Manispaa ya Ilala kupoteza mapato ya Tshs 31.2m

    Jana tarehe 03.02.2016 uongozi wa soko la feri ulizuia kulaza magari katika parking za magari za soko hilo. Kwa kawaida muda wa jioni kuanzia saa 12 ambapo watu wa Tanzania Parking Sytsem wanapo maliza muda wao wa kutoza ushuru wa parking za magari za eneo palikuwa panatumika kufanya huduma ya...
  18. GeniusBrain

    Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

    Ndio mnyama gani huyu na ana kaa mbuga gani?
  19. GeniusBrain

    Ukweli mchungu: Lowassa anakubalika na atapata Kura nyingi pia Ndani ya CCM

    Sheria ya makosa ya kimtandao inakuhusu aisee kwa kuleta habari za uzushi
  20. GeniusBrain

    Sheria ya Uchaguzi nayo ni Miongoni Mwa Sheria za Kipumbavu!

    Haya nenda kwamwambie EL umeisha andika thread leo akulipe hela alizopiga za richmond. Kwani watumika bila kujijua ni hasara kwa taifa, ni hasara kwa wazazi wako, ni hasara kwa familia yako etc
Back
Top Bottom