Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Hii sheria ya uchaguzi kwa kweli nayo inabidi iingie kwenye orodha ya sheria za kipumbavu.
Kwanini?
Kwa sababu huwezi kusema eti mtu kaanza kampeni mapema wakati huu ni mwaka wa uchaguzi....Haiingii akilini kabisa!
Kuanza kampeni mapema ingehesabika labda mtu alianza kampeni mwaka jana na kurudi nyuma hapo sawa lakini si hivi inavyosemekana kwa sasa.
Kwanini?
Kwa sababu huwezi kusema eti mtu kaanza kampeni mapema wakati huu ni mwaka wa uchaguzi....Haiingii akilini kabisa!
Kuanza kampeni mapema ingehesabika labda mtu alianza kampeni mwaka jana na kurudi nyuma hapo sawa lakini si hivi inavyosemekana kwa sasa.