Tatizo liko kwa wahariri wa gazeti ambalo wewe pia tunaona makala zako zikichapishwa-Raia Mwema/Raia Tanzania, hili ndilo gazeti limeona hii ni stori na likatumia headline ya "Wake wa viongozi...."! Ukifuatilia kinachoandikwa na gazeti hili ni rahisi kubaini kuwa lina ajenda maalum dhidi ya Chadema/upinzani. Headline zake huwa za ajabuajabu zenye nia ovu dhidi ya upinzani/Chadema. Headline ya jana kwenye lead stori ya Raia Mwema nayo ni ya kimkakati. hovyo kabisa!Sasa na wewe mleta Mada unataka kumsihi nani?
Halafu ninachoona huu mjadala baadhi ya watu wa CCM watamtukana na kumdhalilisha Joyce wakijifanya kuwa ni watu wa CHADEMA.
Lengo kuleta mgawanyiko na kujenga chuki za ndani kwa ndani na kutoa watu kwenye ajenda
Huu uzi ni wa kupuuza