Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Tatizo gani..? Tuache kudanganywa!
Ni kiasi gani exactly kimeokolewa, vipi siku zote anatembea?
Si umeambiwa mamilioni yameokolewa, na hili la vipi siku zote anatembea labda mi naona hili ndio swali la ajabu lililomfanya mwandishi kutangaza habari hii yawezekana Waziri mkuu yeye kama mtu maarufu tokea aende Dodoma hakuwahi kushuhudiwa akitembea kwa Miguu kwa umbali huo.
 
Halafu sikujua kama bado anakaa ikulu , wakati alishakabidhiwa nyumba yake pale mlimani
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha waziri mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 Katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi
Hiyo ni habari unafikiri huu uzi wako umetokana na nn kama sio hyo habari ya waziri mkuu kutembea mita 200. Labda utuambie Habari ni nini?
 
Nina hakika tangu umeamka hadi sasa hivi haujatembea huo mbali wa mita 200. Tuache kulalamika lalamika kama wanawake.
Kama unajua mita 200 usingemwuliza huyu mleta mada kama ametembea umbali huo. Kama hii ilikuwa ni habari basi tumefikia mahali ambapo kila kitu kinatumika kisiasa. This is too low!
 
Hiyo ni habari unafikiri huu uzi wako umetokana na nn kama sio hyo habari ya waziri mkuu kutembea mita 200. Labda utuambie Habari ni nini?
Unapomkuta mtoto mdogo anajisaidia kwenye 'pot' yake inaweza isiwe habari kabisa, lakini atakapotokea mtu akapiga picha na kuipost mahali kama habari kamili akitokea mwingine akahoji kwa mshangao hiyo ndio huwa habari
 
Asante kwa taarifa, kwa waliofika dodoma ofisi ya waziri mkuu na ikulu ndogo ni parefu Kidogo mita 200 ni makadirio ni zaidi ya hapo
Kama ni makazi yake na Ofisini. Ni umbali mrefu. Kilometa nne zinafika. Sasa sijaelewa hizo zinazotajwa kuwa mita 200 ni kutoka wapi kwenda wapi kwa pale Dodoma. Kwa sababu mita 200 ni sawa na mwanzo wa jengo la Mlimani City(mita 172) au zaid kidogo ya US carrier Nimitz!
 
PM sasa kafikia pabaya yaani kakosa kiki kwa muda mrefu ndio kaja na hiiii.. mita mia mbili kaokoa mamilioni?Kivipi?
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha waziri mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 Katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi
Wanaomsifu ni takataka, lumpen proletariat!
 
Dahh haya maigizo yamefika pabaya.......
Wanasema wanabana matumizi alafu ela wanazobana wanapewa wabunge wa ndio kupitisha mambo Yao....ila kila la kheri pia lkn..
Bado mkhululu nae sjui atakuja na mbwembwe gani nxt tym
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?

Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
Kinachokuwasha hapo ni nini sasa?
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?

Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
Mita 200?? Kaokoa sh ngapi?
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?

Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
Unatafuta Kiki wewe huna lolote. Huku JF si sehemu ya kutafuta kiki nenda FB na Insta
 
Back
Top Bottom