Bukama Batoko
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 820
- 137
ukiangalia na matatizo yaloyopo nchini kwetu, rushwa, na uadilifu na ukapima katika candidates wote, magufuli ankuwa juu ya wengine. tunachohitaji ni kumpata rais atakayeyatatua hayo matatizo. magufuli hana kashfa za rushwa na anachukia rushwa, magufuli ni muadilifu na anapenda uadilifu ndiyo maana alidirikikufukuza wazembe wote na wanaofanya kazi kwa mazoea. generaly magufuli anawapiku wagombea urais wote.
anastahili urais based on reality
You cant compare Magufuli with Lowasa. Magufuli is good in administration, so he is president elect.