Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

ukiangalia na matatizo yaloyopo nchini kwetu, rushwa, na uadilifu na ukapima katika candidates wote, magufuli ankuwa juu ya wengine. tunachohitaji ni kumpata rais atakayeyatatua hayo matatizo. magufuli hana kashfa za rushwa na anachukia rushwa, magufuli ni muadilifu na anapenda uadilifu ndiyo maana alidirikikufukuza wazembe wote na wanaofanya kazi kwa mazoea. generaly magufuli anawapiku wagombea urais wote.


anastahili urais based on reality

You cant compare Magufuli with Lowasa. Magufuli is good in administration, so he is president elect.
 
You cant compare Magufuli
You cant compare Magufuli with Lowasa. Magufuli is good in administration, so he is president elect

Magufu atakuwa rais wa nyuma yako na sio watz. Huyu anaeongea kama kasuku hadi anawehuka... kwel www ni kilaza mkubwa sana..hata hujui kufanya assessment
 
sio anafaa kuwa raisi, magufuli ndiye Raisi
 

Attachments

  • 1445409712289.jpg
    1445409712289.jpg
    19 KB · Views: 61
Magufule ni puppet wa jk, ndio maana jk anamkubali sana, yaani akiwa ikuli maslahi yatalindwa bila shaka yoyote.
Mtu mbadhirifu mkubwa wa mali za uma za wizara ya ujenzi na aliyepoteza mamilioni kwa wakandarasi hafai kuwa na sifa za uchapa kazi!
 
Magufule ni puppet wa jk, ndio maana jk anamkubali sana, yaani akiwa ikuli maslahi yatalindwa bila shaka yoyote.
Mtu mbadhirifu mkubwa wa mali za uma za wizara ya ujenzi na aliyepoteza mamilioni kwa wakandarasi hafai kuwa na sifa za uchapa kazi!

Ondoa vumbi lako hilo wewe. Hayao ni ya kwako kampelekee ......................................wako siyo ya Watanzania. Watanzania kazi yaetu kwa sasa tnahitaji Rais siyo rahisi Lowasa.
 
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi john POmbe MAgufuli ameendelea kuwa tishio kwa mafisadi hapo nchini,wananchi wengi wameendelea kumpongeza mgombea huyo kuwa ni mchapa kazi,mwadilifu na ndiye atakayemaliza tatizo la ufisadi hapa nchini mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa TAnzania oktoba 25
 
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi john POmbe MAgufuli ameendelea kuwa tishio kwa mafisadi hapo nchini,wananchi wengi wameendelea kumpongeza mgombea huyo kuwa ni mchapa kazi,mwadilifu na ndiye atakayemaliza tatizo la ufisadi hapa nchini mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa TAnzania oktoba 25


Kinamzuia kitu gani kuwafungulia kesi mahakamani wezi wa Escrow hivi sasa ???

Jamaa halifai kabisa hao wote ni vibaraka vya PENGO
 
Hakika wewe ndio unaejua watanzania wanahitaji nini,sifa zako za uchapakaz hodari,ufuatiliaji,umakini,usikivu zinakupa asilimia 100 kuingia ikulu!WEWE NDIO RAIS YETU UJAYE
Katika hili tunaenda na Magufuli Ikulu
 

Attachments

  • IMG-20151021-WA0095.jpg
    IMG-20151021-WA0095.jpg
    50.8 KB · Views: 352
  • IMG-20151021-WA0094.jpg
    IMG-20151021-WA0094.jpg
    53.8 KB · Views: 316
  • IMG-20151021-WA0092.jpg
    IMG-20151021-WA0092.jpg
    31.6 KB · Views: 297
Back
Top Bottom