Mkuu, kwa mtazamo huo kumbe hao wanaodaiwa kuweka hayo mabango ni vibaraka wa wapalestina! Sidhani kama ni hivyo mkuu.Muulize huyo kibaraka wa wayahudi
Mkuu,sisi waafrika ni watu wa ajabu sana.hahahaaaaa
Iendelee kuwauwa wapalestin,waendelee kuwafunga kizazi waafrika wanaishi Islrael, waendelee kuwabaguwa watu weusi.Israel ibarikiwe waendelee kuwa na amani waisrael wapate fedha waendelee kuwa na akili ya uvumbuzi kila siku eee Mungu ibariki Israel na Tanzania pamoja na mm na familia yangu
Ya nje tunayashangilia sana lakini hapa polisi anapotoa masharti ya kipi mbunge ahutubie, wote kimya. Sasa nani yupo huru hapa?NON OF YOUR BUSINESS
KWANI WEWE NI MUISRAEL AU WE NI KIBARAKA WAO?
KAMA VIPI NAWEWE WEKA MABANGO YA KUITETEA HIYO ISRAEL
HIVI LINI WAAFRIKA MTAKUWA HURU KIMAWAZO?
Badala uombee tanzania unaombea manyang'angau ao...ivi umeshafanya nao ata kazi ukaona ni watu wa nanma gani? Wabaguzi sana ukikaa nao masaa ma2 tu utawachukia.
Soma historia mkuu, Tanzania inaipinga Israel mchana na bila kificho. Hicho ulichoona ni maadhimisho ya Siku ya Kuds, yanayofanyika kila mwaka kukumbukia uvamizi wa Wazayuni kwenye ardhi ya Palestina.Tanzania haipingi wala haiungi matendo ya Israel so hawa watu watafute nchi nyingine ya kusambaza ujumbe wao huo
Tabia ya kutoa roho za watu.Ila kuna kaswali ka ghafla hata kama ni legendary story/myth as u call it ni kwanini akaitwa Israeli mtoa roho badala ya say Mjapan ama mjerumani mtoa roho?
Kuna dhehebu la kiislam, kama sikosei makao makuu yake yako pale KIGOGO kona, opposite na kituo cha polisi ambalo limekuwa likiendesha propaganda dhidi ya israel.
Hili dhehebu linaonekana ni pro Palestine, na kwa nyakati tofauti wamekuwa wakitengeneza posters, na banners zenye kuunga mkono taifa la palestine na kulisifia katika harakati mbalimbali, lakini pia kukemea na kushutumu maadui wa Palestine.
Hii trend ilichukua hatamu saana wakati ule Israel walipokuwa wakipigana na Palestine katika ukanda wa Gaza, lakini imekuwepo kwa kipindi kirefu kidogo.
Kinachonifanya niandike uzi huu na kuwa na wasiwasi ni baada ya kuona watu hawa wameanza kununua mabango makuubwa ya barabarani (side ways super posters) na kuweka hizi propaganda zao dhidi ya Israel ambazo kimsingi si nzuri sana kidiplomasia. Mfano ni bango lao ambalo liko UN ROAD jirani na almuntazir secondary.
Hivi akija mgeni Tanzania na kukuta haya mabango mitaani atapata tafsiri gani?? Dini lengo lake ni kumwabudu Mungu, Mbona hawa watu wanaachiwa kuendesha propaganda dhidi ya nchi kubwa duniani ambazo sisi kama Tanzania hatuna uhasama nazo.
Serikali tafadhari liangalieni hili, it will seriously damage our diplomatic relationship with ISRAEL
WAISLAMU DUNIA NZIMA NI WALALAMISHI. Ukienda SYRIA,UKIENDA EGYPT,UKIENDA IRAQ, ukienda KULE UPANDE WAO NIGERIA. watu gani mnakuwa walalalinishi hata kwenye nchi zenu wenyewe?
Mbona hata humu jf kuna watu walalamishi,wanapinga kila jambo linalofanywa na magufuli?na wao ni waisilaamu.WAISLAMU DUNIA NZIMA NI WALALAMISHI. Ukienda SYRIA,UKIENDA EGYPT,UKIENDA IRAQ, ukienda KULE UPANDE WAO NIGERIA. watu gani mnakuwa walalalinishi hata kwenye nchi zenu wenyewe?
Ukitaka kuona siyo suala la dini, Dhehebu la Gwajima wabandike bango barabarani la kuipinga Palestina.hatuongelei dini kuunga mkono dini , Tunaongelea dhehebu Fulani, na si dini yote ya uislam, kushambulia nchi Fulani ambayo sisi watanzania hatuna tatizo nayo