Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Wana JF.
Kuna mkutano wa waandishi wa habari unafanyika kwenye ofisi za CHADEMA wilaya ya Arusha wenyeviti wa mitaa wanaowakilisha wananchi wametoa tamko la pamoja la kutoshirikiana na watendaji wa kata na mitaa hata mkuu wa wilaya .
Hii inatokana na kuanza kubaguliwa na mkuu wa wilaya katika utekelezaji wa majukumu yao .
Ntawaletea live update .
Tayari waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali wameshafika kwenye ofisi za chama.
Kuna mkutano wa waandishi wa habari unafanyika kwenye ofisi za CHADEMA wilaya ya Arusha wenyeviti wa mitaa wanaowakilisha wananchi wametoa tamko la pamoja la kutoshirikiana na watendaji wa kata na mitaa hata mkuu wa wilaya .
Hii inatokana na kuanza kubaguliwa na mkuu wa wilaya katika utekelezaji wa majukumu yao .
Ntawaletea live update .
Tayari waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali wameshafika kwenye ofisi za chama.