Wamiliki wa baadhi ya baa za mji wa babati wamekuja na mtindo mpya. Huu unahusisha kuwawekea dawa za kienyeji wateja wanaowaona wana hela ili wawe wanywaji wa kudumu kwenye baa zao hali inayowafanya waingize kipato kizuri kupitia wanywaji hao.
Hutokeaje? Wamiliki wakishajua wewe ni mtu mwenye...
Hakika usiombe ukutane na haya masaibu ninakutana nayo sasa.
Huku kusoma uzeeni nako noma kweli.
Jamani wale watoto walokuwa wanagomba kila siku wamekuwa na
kwa sasa wanasoma....ila hawjaacha kuendelea kuchapana ila
walu kwa sasa wako bize kidogo na shule, nikuiona wanaanza
kuleteana mizengwe...
Hii maneno nimeichoropoa huko usokitabu (facebook). Imenishangaza kidogo nikaona hebu tuijadili. Napata shida kujua hali itakuwaje siku za mbeleni.
Wapigakura walioandikishwa: 2010: = 71,000
Waliopiga kura: 2010 = 42,000 (29,000 hawakuona umuhimu wa uchaguzi)...
Chonde jamani baadhi ya kina mama/dada/wasichana mbona mna roho kama za ajabu hivi.
Unawezaje kumwambia mumeo tena wa ndoa maneno kama hayo? mweeee!
Maneno haya amtamiwa mwanaume na mkewe wa ndoa wiki moja iliyopita.
Kwa sasa jamaa hamuamini kabisa mkewe akihofia huenda huyu mwanamke atakuja...
Hakika ana uzuri wa asili hususani ngozi yake. Hata hivyo-mnisamehe
kama ntakuwa nimekosea-siku ya utoaji tuzo, huyu binti ngozi yake
ilionekana kama ametolewa toka kwenye matope, maana sehemu
nyingine za ngozi zilikuwa zinag'aa kuliko zingine.
Kuna wakati nlikuwa najiuliza huyu binti...
Jamaa yangu ananiomba ushauri afanyeje baada ya kupigiwa simu na kutolewa maneno ya ukali
mpenzi wake wa kike akitaka ampe hela aliyomahidi siku moja kabla ya huyu kaka kufiwa na
ndugu yake wa tumbo moja.
Kuonyesha mtoto wa kike hajali hali iliyompata bf wake, yeye ameendelea
ameshikilia...
Nilihuzunika sana mama mwenye nyumba alipotamka maneno haya.
Hii imenitokea nilipoenda kwa rafiki yangu niliyesoma naye O level miaka ya 90. Nilishangaa kuona ingawa yeye ndiye aliyeandaa chakula, kilipofika mezani yeye alikuwa ameketi kwa mbali anangojea tumalize kula ili naye aje kusaza...
Jamani wanaume kuweni wastaarabu.
Kama mwanamke hakutaki acha kumkashifu utaishia kuaibika buree!
Hii imemtokea kidume mmoja hapa manispaa ya Morogoro eneo la mazimbu. Baada ya njema kuchunwa vilivyo kwa takrbani miezi minne bila kupewa 'game' leo kamzukia shosti geto kwake akidai arudishiwe...
Basi la Mohamed Trans limehusika kwenye ajali na gari dogo lililokuwa limebeba askari polisi na kuwauwa watu watano ambao wote ni askari polisi.
Askari hao walikuwa wanatoka kwenye sherehe yao muda wa saa 11 asubuhi ya leo eneo la mtumba nje kidogo ya manisapaa ya Dodoma.
Chanzo cha ajali...
Wapo ambao wanadai wanawake wengi wangekuwa wanapata vipigo wakati wa love making kwani wengi huwa kama wafu wanapopata orgasm. Wengine walidai eti wanaume wangekuwa vicheche zaidi ya walivyo sasa, maana kwa sasa tu wengi wao wanawahi kufika kileleni lakini bado tamaa mbele kama wamerogwa. Kali...
Zile taarifa kwamba majeshi ya Tanzania kuwa vinara wa ujangili wa maliasili umeendelea kujidhihirisha ambapo kwa mara nyingine moja ya majeshi ya Tanzania limehusika na ujangili wa wanyamapori mkoani Manyara.
Taarifa za uhakika zinasema kuwa leo mida ya saa saba mchana gari la magereza...
Hata 'Joshua' juzi aliniambia kuwa mbona nimebadilika sana, nimeongezeka ukubwa lakini pia ule ukavu ukavu haupo na makelele yamekuwa mengi tofauti na zamani! Na hili hata (akataja majina ya waaume wengine watatu) waliniambia pia tatizo hili.
Mwenzangu kama vp tafuta dawa, wanaume wenyewe wa...
Jamani leo nimeona niwaambie kituko cha kampeni za udiwani juzi pale Ilboru. Baada ya kukata tamaa juu ya uwezekano wa kupata kura mgombea wa CCM akatoa kali ya mwaka kwa watu wachache walokuja 'kumsikiliza' wakati anamwaga sera ili apewe udiwani.
Kali ya mwaka aloitoa ni pale aliposema kwamba...
Ama kweli mapenzi yana raha na karaha yake. Ila hii ya huyu dada ni kali kwa kweli.
Kama ilivyo kawaida ya wadada walioshibana wawapo zaidi ya wawili, hawakosi kuongelea mambo yao ya ndani ya malovee. malalamiko ya shosti huyu ni juu ya mpenzi wake wa kiume ambaye amedumu naye kwa miezi sita...
Kwa kauli ya dhati kabisa nimeona niliseme hili baada ya
kuumia moyoni niliposhuhudia manung'uniko na huzuni za shosti
mmoja alipokuwa akibubujikwa na machozi ya 'damu' kwa
mwenzake juu ya alichotendewa na mwanaume aliyedhani
alikuwa na mapenzi ya kweli kwake.
Mdada anadai kuwa kuna mwanaume...
Natumai wote ni buheri wa afya na mnaendelea kuvuta hewa ya bure tuliyopendelewa na mwenyezi Mungu.
Kwa kweli hili limenifanya nishindwe kuvumilia. Leo mida ya saa 3 asubuhi nilipita mahali nikamkuta mhubiri injili anahubiri barabarani juu ya umuhimu wa 'kukoka'.
Ilibidi nisimame niusikilize...
Hodi tena jamani. Kama kawa nawaletea umbea wa kweli!
Labda niseme nina bahati mbaya sana kupanga nyumba moja na hawa mashostito.
Bila kujua kwamba nipo ndani nimejipumzisha, wakaanza mastori yao ya kike. Walipomaliza kuwajadili wanawake warembo mtaani kwetu, mmoja akabadili mjadala na...
Mtakaonisema kivyenu! Hii maneno ilikuwa kati ya mashostito wawili walokuwa
wakiongea 'girly stories' zao na kama kawa sikio langu nikalitegeshea usawa
na uelekeo wa maongezi yao. Ni kama walipotezana siku nyingi na baada ya kukumbatiana
angalia maongezi yao!
Dada A: Mwamwamwaaaaa! Za siku...
Kwa mara nyingine tena Rais amepitisha muswaada kuwa sheria
kandamizi ktk ustawi wa watanzania. Wakati CCM ikiendelea
kuimba wimbo wa kutengeneza ajira kwa vijana kwa kutmia mkono
wa kulia, imetumia mkono wa kushoto kuua juhudi zake yenyewe
za kukuza ajira miongoni mwa vijana na watz wote kwa...
Leo ni siku ya pili sasa, mji wa dodoma umeanza kuwa na mgawo wa umeme. Kwa maeneo ya Kisasa mgawo umekuwa ukianza mida ya saa 8 usiku hadi saa 4 asubuhi.
Leo ni siku ya pili mfululizo kitu kimeanza kunyanyasa.
Huenda ule mgao 'feki' uliopangwa ili kuwanufaisha viongozi waandamizi wa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.