Wadau naomba mnisaidie kupata number za wahusika wa bendi hizi
B-Band and Banana Zorro
Inafrika Band na Wanne Star
Kilimanjaro Band
Please wadau nisaidieni
Wadau naomba mnisaidie, nina experience ya kukutana na vibinti yaani niko kwenye hatua za awali za kutongoza hata kabla jibu la kukubaliwa au kukataliwa, binti anaanza kumwaga matatizo yake.... na ukikaa vibaya ooh kodi ya nyumba imeisha ooh tv yangu ni ya kizamani nahitaji Digital Tv oooh...
Kuna baadhi ya mabinti ukijitusu kumega (kufanya nae ngono) kuna mawili
1. Kama unafanya kazi lazima upoteze gazi
2. Upoteze uhai
Inshort utaandamwa na mikosi mpaka hapo utakapo amua kuachana nae....
na kuna wapo wengine ukimega tu, njia zinafunguka tuu!!
Hivi kwa ninyi madada, mawifi, mama wakwe.....
Hivi ni kwanini mwanamke mwenzenu anapochelewa kupata mtoto akiwa ndani ya ndoa huwa mnapenda kuwasimanga. Mara mjaza choo, anakula vya mwanao/kaka ako bure.
Hamjui alie kuwa wewe ndio amemnyima yeye. Au bado anasubiri majira ya Bwana!
please...
Ndugu,
Naomba mnisaidie kupata kunielekeza wapi naweza kupata Daktari wa masikio. Mimi niko Dar. Kwa yeyote atakae weza nisaidia naomba ani PM. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Mungu awabariki.
Hivi kwa nini mabinti/wanawake/madada wasioolewa wanapenda kudate na waume za watu. Ni fashion, au waume za watu ni watamu. yaani mabinti sasa wamekuwa kero kwangu. Msaada tafadhali.
Wadada naomba mnisaidie, mnapokuwa kwenye uchumba ni kutoa unyumba kwa wenzi wenu ni rahisi sana tena bila masharti sasa kwa nini mkiolewa inakuwa ngumu sana kutoa unyumba na kuja na sababu kibao mara nimechoka, ninausingizi. Je, hudhani kwa kufanya hivi ni kumfanya mumeo awe na mapoozeo?
Kwa habari nilizozipata just now,
mashoga na wasagaji wa Tanzania wako kwenye kikao cha kujadili haki zao ndani ya ukumbi wa mikutano uliopo Tansoma hotel.
THIS IS TOO MUCH
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.