ipo gold star kama unaenda mnazi mmoja.Tansoma hotel ipo wapi?
Arafat, niwie radhi ndugu.... hakuna kitu ninachochukia kama kuona mwanaume anaendewa kinyume na maumbile. Ni taarifa tu nimeona niwashirikishe. So heshima kidogo hata kama mtu humjui.....
Duh!kumbe mashoga wana haki zao za kishoga!Too much kivipi? Kama wananyanyaswa wasidai haki zao za kiraia?
umefanya vema kumtaka radhi. Good.Samahani sana Mkuu; naomba ukubali kunisamehe SMART1; nilikuwa najaribu kukutibua nijue umefahamu vipi hizi habari za hawa punguwani Pole kama nimekukwaza.
Ahahah.......kumbe naye mdau!!Nadhani mtowa taarifa anaweza kuwa mmoja wao! ama msagaji au shoga au hata ana shoga wake ndani ya kikao!!
Duh!kumbe mashoga wana haki zao za kishoga!
Hizo habari kawambie wazee wa "dont ask dont tell" hii ni tz hatutaki ujinga ujinga kama huu!Nadhani unyanyaswaji na kubaguliwa ni ukiukwaji wa haki za msingi za binadamu bila kujali mwelekeo wa kijinsia, rangi, chanzo cha utaifa, dini, na kadhalika.