Wadada naomba mnisaidie, mnapokuwa kwenye uchumba ni kutoa unyumba kwa wenzi wenu ni rahisi sana tena bila masharti sasa kwa nini mkiolewa inakuwa ngumu sana kutoa unyumba na kuja na sababu kibao mara nimechoka, ninausingizi. Je, hudhani kwa kufanya hivi ni kumfanya mumeo awe na mapoozeo?