Search results

  1. M

    Uhamiaji waenda kuchunguza uraia wa Askofu Mkuu Kakobe kijijini kwake, wazee mashuhuri kijijini wathibitisha uraia wake

    Baada ya kupiga kambi hapa wilayani Kakonko, kwa wiki mbili sasa, uchunguzi wangu umebaini pasipo shaka, kwamba, Idara ya Uhamiaji, Dar-Es-Salaam; imewatuma maafisa wapelelezi wawili, mwishoni mwa mwezi uliopita, wilayani hapa, ili kuchunguza uraia wa Askofu Mkuu Zachary Kakobe. Wapelelezi hawa...
  2. M

    Askofu Mkuu Zachary Kakobe aitwa Uhamiaji Jumatatu kuhojiwa juu ya uraia wake

    Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Dar-Es-Salaam, imemwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe, kumwita kwa ajili ya mahojiano. Barua hiyo yenye Kumbukumbu Na. BA: 120/231/02/82 ya tarehe 5.4.2018, imemtaka Askofu Kakobe kufika katika ofisi...
  3. M

    JK: Hakuna Ujamaa tena Tanzania

    Rais Kikwete hatimaye amekomesha kigugumizi cha Viongozi wengi ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakishindwa kutamka waziwazi hadharani kwamba, nchi ya Tanzania kwa sasa siyo nchi inayoongozwa na sera ya Ujamaa na Kujitegemea. Ingawa kwa miaka mingi Ujamaa umezikwa katika nchi yetu, bado Katiba ya...
  4. M

    Askofu Kakobe: Kinachoendelea katika Bunge la Katiba ni uhuni

    Kabla ya mahubiri ya Neno la Mungu katika Ibada Kuu ya leo Jumapili 7.9.2014, Mwenge, Dar-Es-Salaam; Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe, alianza kwanza kusoma kwa waumini wote Tamko zima la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Mchakato wa Katiba...
  5. M

    VIDEO: Kakobe aongoza maandamano ya Kanisa lake

    Tarehe 2.8.2014, Askofu Mkuu Zachary Kakobe aliongoza maandamano ya kusherehekea miaka 25 ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (1989-2014). Maandamano hayo yaliyojulikana kama "Matembezi ya Shukrani" yamekuwa gumzo kubwa katika Jiji la Dar-es-Salaam kutokana na umati mkubwa wa waumini wa...
  6. M

    Kama Jeshi ndilo linaufanya salama Muungano, UK hawana Jeshi?

    Kauli ya JK kwamba Muungano wa Tanzania uko salama kutokana na nguvu za Jeshi kuulinda, na atakayeuchezea ataona cha mtema kuni; inanipa kujiuliza swali hili: Kwa sasa Scotland inapanga kujiondoa katika Muungano wa UK, baada ya kuwa katika Muungano huo tangu 1707 (yaani zaidi ya miaka 300). Je...
  7. M

    Askofu Kakobe: Nipo tayari kukatwa Kichwa kuliko kumuabudu Nyerere, Kosa kubwa ni kuondoa Mipaka ya Tanganyika!

    Katika Ibada Kuu ya Pasaka ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Mwenge, Dar-Es-Salaam; wakati wa Neno la Pasaka 20.4.2014, lenye kichwa, "JE, KUIDAI TANGANYIKA NI HALALI KATIKA MPANGO WA MUNGU?" Askofu Mkuu Zachary Kakobe wa Kanisa hilo, pamoja na mambo mengine, alizungumza kuhusu...
  8. M

    Askofu Kakobe kuzungumzia muundo wa Muungano katika Neno la Pasaka 20.4.14

    Taarifa zilizopatikana kutoka kwa waumini wanaosali katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), linaloongozwa na Askofu Mkuu Zachary Kakobe, zinaeleza kwamba, Jumapili iliyopita katika Ibada Kuu ya Kanisa hilo, lililoko Barabara ya Sam Nujoma, Mwenge, Dar-Es-Salaam, karibu na Mlimani...
  9. M

    Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

    Hii hapa, ndiyo nyumba pekee ya Askofu Mkuu Zachary Kakobe, kama wanavyothibitisha waumini wake, na watu wengi wanaofahamu undani wa maisha yake binafsi. Ni nyumba ya kawaida sana ya vyumba vinne, iliyojengwa katika mtaa wenye nyumba ambazo zimebanana sana, bila kuacha nafasi; eneo la...
  10. M

    Ushauri wa bure kwa Mheshimiwa Sitta

    Sitta, ninakupa ushauri wa bure, baada ya kuwa umechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge Maalum la Katiba. Tatizo lako kubwa, ni kwamba, you talk too much! Kificho ameweka standard mpya ya Spika (Mwenyekiti), so be careful, au siyo kazi yako nzuri ya nyuma inaweza kuingia mchanga. Biblia...
  11. M

    Wabunge wa CCM msikubali kufanywa watoto wadogo!!

    Kura ya wazi, ina lengo la kuwafanya Wabunge wa CCM, kuwa kama watoto wadogo wasio na uwezo wa kufikiri na kutoa maamuzi yanayofaa, ambao wanalazimika kutekeleza maamuzi ya "mtu mzima", mwenye uwezo wa kufikiri na kutoa maamuzi, kwa niaba ya mtoto mdogo. Ndiyo maana "watu wazima" hawa, wanataka...
  12. M

    Salaam za Christmas 2013 za Askofu Kakobe

    Katika salaam zake za Christmas jana katika Kanisa la F.G.B.F, Mwenge, Dar es Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe amezungumza kwa takribani saa mbili nzima mambo mazito sana kuhusu Uchaguzi Mkuu, Tume huru ya Uchaguzi, Ukabila na Ukanda, kufukuza viongozi katika vyama vya siasa na Serikali na...
  13. M

    Christmas: Askofu Kakobe kuzungumzia mustakabali wa Taifa

    Nimetonywa na watu wa kuaminika, walioko huko, kwamba, Askofu Mkuu Zachary Kakobe wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, kesho 25.12.2013 katika ibada ya Christmas Kanisani kwake Mwenge, Dar-Es-Salaam, itakayoanza saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana, katika salamu zake za Christmas na Mwaka...
  14. M

    Madhara ya Chama kinachoogopa kuwafukuza wanachama wake

    Chama legelege chenye "sera" ya kulindana, kinachoogopa kuwafukuza wanachama wake wenye utovu wa nidhamu, kwa "kuogopa Chama kusambaratika", kitazaa vilevile serikali inayoogopa kuwafukuza watumishi wa serikali wenye utovu wa nidhamu, na kuwalinda tu au kuwahamisha mahali pao pa kazi. Leo, utovu...
  15. M

    Je, kupeleka Muhimbili, madaktari kutoka Jeshini, ndiyo ufumbuzi wa tatizo la mgomo?

    Madaktari kutoka Jeshini wamepelekwa Muhimbili. Je huu ndiyo ufumbuzi wa tatizo la mgomo wa madaktari?
  16. M

    Mimi simwamini Kikwete na vikao vyake anavyovifanya na Viongozi wa Chadema!

    Sina imani na JK, na vikao vyake anavyovifanya na Viongozi wa Chadema. Kwa maoni yangu, Kikwete anafanya vikao hivyo, kwa sababu kuu mbili. Kwanza, ni kuwadanganya "International Community" ili wamwone kwamba, ni Kiongozi anaye-relate vizuri na Upinzani, katika suala la Katiba, wakati ni...
  17. M

    Kuficha Ugonjwa: Utamaduni sahihi kwa Wanasiasa wa Tanzania?

    Katika mila na desturi za Watanzania; ni ajabu kwa wanasiasa maarufu kuugua; na hata wakiugua, basi siyo magonjwa sugu kama UKIMWI. Ndiyo maana wakiugua, basi tunawaza haraka kwamba, huenda "wamepewa sumu". Ingawa Watanzania wengi hatutaki kukubali hadharani, lakini ni dhahiri kwamba...
  18. M

    Tiba ya Babu Loliondo: Wanasiasa tuliingizwa mkenge

    Tiba ya mchungaji wa Kainsa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ambikile Mwasapile, imeingia dosari baada ya kuanza kupoteza umaarufu na idadi ya watu wanaokwenda kupata kikombe hicho kuanza kupungua kwa kasi, Sauti Huru limebaini. Tiba hiyo iliyodaiwa kutibu aina zote za magonjwa...
Back
Top Bottom