Mhabarishaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 1,006
- 598
Katika Ibada Kuu ya Pasaka ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Mwenge, Dar-Es-Salaam; wakati wa Neno la Pasaka 20.4.2014, lenye kichwa, "JE, KUIDAI TANGANYIKA NI HALALI KATIKA MPANGO WA MUNGU?" Askofu Mkuu Zachary Kakobe wa Kanisa hilo, pamoja na mambo mengine, alizungumza kuhusu Tanganyika na Nyerere. Video hizi mbili hapa, zitakupa japo kwa ufupi juu ya mambo aliyoyazungumza katika mahubiri yake:
VIDEO NA 1: KAKOBE: "Kila mtu anayepigania kurudi kwa Tanganyika, ana Mungu ndani yake." MUDA WA VIDEO: DAKIKA 5 SEKUNDE 10:
VIDEO NA 2: KAKOBE: "Wako watu ambao wameanza kumfanya Nyerere aonekane kuwa ni Mungu asiyekosea. Hatua hii, inalenga kumfanya Nyerere kuwa kama Rais wa Korea Kaskazini, KIM IL SUNG, ambaye alitangazwa rasmi kuwa Mungu wa Korea Kaskazini, na Rais wao wa milele. Ingawa amekufa miaka kadha iliyopita, mpaka leo bado ni mungu wao na Rais wao wa milele: North Korea's cult of personality - Wikipedia, the free encyclopedia
Kanisa lazima tukatae kufikishwa kwenye ibada hii ya miungu. Na mimi ni wa kwanza kukataa. Nazungumza kwa herufi kubwa, na ninatamka mara kumi, "NYERERE SIYO MUNGU." - MUDA WA VIDEO: DAKIKA 9 SEKUNDE 0:
VIDEO NA 1: KAKOBE: "Kila mtu anayepigania kurudi kwa Tanganyika, ana Mungu ndani yake." MUDA WA VIDEO: DAKIKA 5 SEKUNDE 10:
VIDEO NA 2: KAKOBE: "Wako watu ambao wameanza kumfanya Nyerere aonekane kuwa ni Mungu asiyekosea. Hatua hii, inalenga kumfanya Nyerere kuwa kama Rais wa Korea Kaskazini, KIM IL SUNG, ambaye alitangazwa rasmi kuwa Mungu wa Korea Kaskazini, na Rais wao wa milele. Ingawa amekufa miaka kadha iliyopita, mpaka leo bado ni mungu wao na Rais wao wa milele: North Korea's cult of personality - Wikipedia, the free encyclopedia
Kanisa lazima tukatae kufikishwa kwenye ibada hii ya miungu. Na mimi ni wa kwanza kukataa. Nazungumza kwa herufi kubwa, na ninatamka mara kumi, "NYERERE SIYO MUNGU." - MUDA WA VIDEO: DAKIKA 9 SEKUNDE 0:
Last edited by a moderator: