Mhabarishaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 1,006
- 2,000
Katika salaam zake za Christmas jana katika Kanisa la F.G.B.F, Mwenge, Dar es Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe amezungumza kwa takribani saa mbili nzima mambo mazito sana kuhusu Uchaguzi Mkuu, Tume huru ya Uchaguzi, Ukabila na Ukanda, kufukuza viongozi katika vyama vya siasa na Serikali na mambo mengine mengi kuhusu mustakabali wa Taifa na mambo ya Kiroho. Kalamu na wino havitoshi kuyaandika. Tafuta wasaa wa kusikia hapa unedited full version ya mahubiri yake ya Christmas.
Last edited by a moderator: