hawayuniii .........
Naomba niende direct kwenye swali.........
Nimekua mfatiliaji wa michezo mbalimbali kupitia simu kujua matokeo, huwa natumia Livescore .........
Sasa nimekua nikijiuliza na sipati jibu" unakuta labda kw muda huo mechi zipo kama 200 hivi zinachezwa muda mmoja, zinaupdatiwa...
Naomba kujua kinachosabaisha Ualbino kitaalamu zaidi, maana katika kuuliza uliza kila mtu amekua akinipa jibu lake, wengine wanasema ni kurithi, unakuta baba ni mweusi na mama ni mweusi lakini mtoto anakuwa na albinism.
Je, ualbinism unatoka kwa mama au kwa baba?
Tupige vita uuaji wa ndugu...
hii imekaaje?! Edson Cavan jana alitolewa nje kw red card wakati timu yake PSG ilipochomoza na ushindi wa goli 3 kwa 1 dhidi ya Lens, kisa chenyewe ni kushangilia kama m2 anayepiga risasi(firing a gun) .............
Hivi ni mapenzi ya refa au ni kosa?!
Grand PA
Nimeona tangazo la sporah show clouds tv itakayofanyika leo J4. diamond akiongea ung'eng'e wa hatare, kumbe jamaa sasa hivi kimombo kinapanda eeh
msisahau kufatilia mtupe update alichochapia!" au alichopatia.
by the way hivi mwana nae anajua kuongea hata sentensi moja ya kingereza kweli...
Habarini za muda huu wadau ............
Jana nilikua nimeenda kwnye office moja posta kwenye jengo moja refuuuu! nilikua naenda gorofa kama ya 12 hivi. nilifika offisini vizuri nakufanya yaliyonipeleka.
Wakati naaga ili kuondoka yule receptionist akanipa angalizo kuwa nisitumie lifti iliyopo...
Dunia ina mambo Kampuni moja ya nchini Japan imedai kufanikiwa kutengeneza midoli ya ngono ‘sex dolls' yenye muonekano halisi wa mwanamke ambayo huwa na ngozi ya mwili kama ya binadamu na macho kama ya ukweli.
Orient Industry imesema ni ngumu kuitofautisha midoli hiyo na msichana halisi...
Hivi Messi kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, Roben au hata huyo James Rodriguez?
Kama kuibeba timu Di maria ndio alikuwa anaibeba timu.
FIFA wamezidi upendeleo!
Dogo anafundishwa hesabu na mama ake.
Mama: mwanangu njoo nikufundishe hesabu
Dogo: thawa mama
Mama: mfano shangazi akikupa maandaz 2,
kisha akikupa tena maandaz mawili, jibu
litakuwa lipi
Dogo: athante thangazi
Habarini za muda huu wakuu!! Ebwana naombeni msaada Computer yangu HP inapiga mzigo kama kawa ila tatizo linaanza pale nikiiunganisha tu kwenye net inakua slow mbhaaya! na hata folder na program yoyote hazifunguki mpaka pale nitakapoidisconnect from the net ............. nimeshaiscan na active...
IN BOX SMS ZA MSICHANA
Frank: I love u gal.
Mpesa: You have received 15,000 kutoka kwa John Tesha.
Bodaboda: Unajua nahisi km nataka nikutoe diner leo.
100: Umepokea muda wa maongezi wa shilingi 2,000.
Juma: I miss u baby gal.
Joseph: Baby enter 76039743803546 then 2chat.
Mpesa: Umepokea...
Mimi ni msichana wa miaka 20 naishi magomeni jijini dar nimejitokeza kwenu kushare tatizo langu. mimi sina wazazi wote walifariki kwa ajali ya gari mwaka 1998, Mimi waliniacha nasoma shule ya msingi.
Sasa baada ya kumaliza nilifanikiwa kujiunga na sekondari nilisoma hadi form 4 nikamaliza pia...
Wadau naombeni msaada laptop yangu inajitengeneza folder yenyewe!! inajirename jina la ajabuajabu kama hivi "0d975b542127f3ca0ed43f4447af" ukiyadelete yanakuja maneno haya "You need permission to perform this action. You are require permission from SYSTEM to make changes to this folder." na...
Nawasalimu wanajeiefu wote, straight to ze point ebwana huyu msanii anayeitwa WAKUVANGA wa kundi la ORIJINO KOMEDY huwa sioni anachokifanya zaidi ya kunikera!! kuchekesha kwenyewe hajui,anaforce fani ambayo sio yake. ushauri wangu kwa huyo jamaa angeenda kuimba taarabu na akina mzee yusuf ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.