ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,746
hawayuniii .........
Naomba niende direct kwenye swali.........
Nimekua mfatiliaji wa michezo mbalimbali kupitia simu kujua matokeo, huwa natumia Livescore .........
Sasa nimekua nikijiuliza na sipati jibu" unakuta labda kw muda huo mechi zipo kama 200 hivi zinachezwa muda mmoja, zinaupdatiwa kila dk. kw wakati mmoja, jee ni nani anafanya hiyo shuhuli ............
na je wanapataje matokeo kutoka kwenye hivyo viwanja vyote 200 kila dk. na sio matokeo tu, mpaka dk. mchechaji amepata kadi, goli limefungwa dk. ya ngapi .............
Nawasilisha.
Naomba niende direct kwenye swali.........
Nimekua mfatiliaji wa michezo mbalimbali kupitia simu kujua matokeo, huwa natumia Livescore .........
Sasa nimekua nikijiuliza na sipati jibu" unakuta labda kw muda huo mechi zipo kama 200 hivi zinachezwa muda mmoja, zinaupdatiwa kila dk. kw wakati mmoja, jee ni nani anafanya hiyo shuhuli ............
na je wanapataje matokeo kutoka kwenye hivyo viwanja vyote 200 kila dk. na sio matokeo tu, mpaka dk. mchechaji amepata kadi, goli limefungwa dk. ya ngapi .............
Nawasilisha.