Msaada: Computer inazingua!

Msaada: Computer inazingua!

ENZO

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,248
Reaction score
1,746
Habarini za muda huu wakuu!! Ebwana naombeni msaada Computer yangu HP inapiga mzigo kama kawa ila tatizo linaanza pale nikiiunganisha tu kwenye net inakua slow mbhaaya! na hata folder na program yoyote hazifunguki mpaka pale nitakapoidisconnect from the net ............. nimeshaiscan na active antivirus na hakuna virus, sa sijui tatizo liko wapi?!! mwenye idea plz.
 
Habarini za muda huu wakuu!! Ebwana naombeni msaada Computer yangu HP inapiga mzigo kama kawa ila tatizo linaanza pale nikiiunganisha tu kwenye net inakua slow mbhaaya! na hata folder na program yoyote hazifunguki mpaka pale nitakapoidisconnect from the net ............. nimeshaiscan na active antivirus na hakuna virus, sa sijui tatizo liko wapi?!! mwenye idea plz.

unatumia antivirus gani? nahisi itakuwa ni virus.
 
hiyo co nzuri, try kaspersky itamaliza ili tatizo lako.

Avast ni nzuri sema tu kwamba kinachosababisha computer inakuwa nzito ni pamoja na automatic updates za windows, antivirus, program mbali mbali na pia kuna Downlod Managers au torrent clients ambazo ili zifanye kazi kwa ubora zaidi lazima zizuie process fulani fulani za computer system na kujiwekea high priority na hivyo kufanya pc kuwa nzito sana kwa hiyo inatakiwa kuwa makini kwenye customization ya hizo download manager
 
Back
Top Bottom