1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days.
2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na...
Women who delay having children enter a risk zone of problems in their early thirties, researchers say much earlier than was previously thought.
The risk of problems such as premature and stillbirth rises by as much as 20 per cent for women aged between 30 and 34, compared with those having...
Makamanda wa anga wamewasili kwa chopa wakitokea mji mdogo wa Namanyere baada ya mikutano yao ya mkoa wa Katavi.
Baada ya utambulisho, kamanda Tundu Lisu ameanza kutoa shule ya katiba na hasa Muungano.
PICHA:
KAMANDA MUONGOZA RATIBA AKIWAPA WANANCHI WANAOZIDI KUSOGEA MAWILI MATATU WAKATI...
Akiongea kwa kujiamini, kwa majigambo, mbwembwe na vitisho, Membe, alitoa mfano wa Madagascar;
kwamba mcheza disco Rajoelina, ambaye asipofanya maandamano miguu yake inawasha, alijaribu kuiondoa madarakani serikali iliyochaguliwa kidemokrasia ya Ravalomanana.
Kwamba pamoja na kuungwa mkono...
Yanayoendelea bungeni kwa sasa yana athari kwa jamii inayoiunga mkono chadema japo wengi hawataki kukubali ukweli huu.
Inawezekana ilikuwa hivyo lakini kwa sasa kitendo cha wabunge wa chadema kutolewa nje kila wakati hakiwajengei tena umaarufu bali kinaanza kuharibu sifa nzuri ya chama...
Kwenye kipindi cha tuongee asubuhi Star TV mhadhiri mwandamizi wa UDSM amesema adhabu waliopewa akina Lissu ya siku tano haitoshi na walitakiwa wapewe adhabu hata ya miezi mitatu na wakatwe mishahara pia.
My take:
Hawa ndio madaktari wetu na walimu wetu wa chuo kikuu, ambao hawaonyeshi hata...
Heri ya mwaka mpya wand TGS Forum.
Wajuzi wa haya mambo naomba msaada.
Nimekuwa nataabika sana karibia mwezi sasa, nikifungua website ya Jamiiforums, haifunguki na inanipa error 118, inabidi nire-load several times ndio ikubali.
Tatizo linaweza kuwa nini? is it my computer? Na utatuzi wake ni...
Wazir wa Afya (siha) wa Serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar ndugu Juma Duni Haji akihojiwa katika kipindi cha Saa ya Hamza Kasongo (Hamza Kasongo Hour) cha channel 10 alisema mkutano wa 8 wa CCM huko Dodoma ulikuwa na lengo moja la kuwaunganisha wana CCM kwa lengo la kushinda Uchaguzi wa 2015...
Nilikuwa nategemea Star TV ndio chombo consistent katika vipindi vyake.
Nashangaa haya mabadiliko ya mara kwa mara yanatokana na nini, vipindi vimekuwa havieleweki.
Tulizoea Jumapili tuongee asubuhi ni mada zinazohusiana na siasa lakini siku hizi hata mara hakuna mada yoyote, mara elimu. Star...
Kikwete akisema sasa namuamini, Matukio yafuatayo ingawa yalitikisa Nchi, lakini yalikuwa upepo tu na yamepita.
1. Waligoma waalimu na madaktari, watu wakafa wanafunzi wakakosa masomo, hata bila madai yao kushughulikiwa ukawa upepo tu na ukapita.
2. Akakamatwa Ulimboka, akateswa na kukaribia...
Nawashangaa sana Mashabiki wa CCM wanaojipa moyo na sekretarieti mpya na kufikia hata kuwaita majembe, binafsi sioni jembe hapo.
Huyu mtendaji mkuu Kinana ndio alikuwa anaratibu kampeni za Kikwete ambapo pamoja na kuchakachua JK akashuka kwa asilimia 20%, Je, anawezaje kuipandisha au...
Hivi waziri Mwinyi, unataka wangapi wafe chini ya wizara unazoziongoza ndipo uwajibike?
Milipuko ya mbagala iliua watu, ukasema kamwe hujiuzulu
Ulipoteuliwa kama waziri wa afya, ukasema utahakikisha migomo haipo tena kwenye wizara hiyo, lakini madaktari wakagoma, watu wakafa, na hukuona sababu...
Mbunge wa Nyamagana (Chadema) Ezekiel Wenje ametuhumiwa kushindwa kutimiza ahadi ya kulipia wanafunzi 130 wa sekondari ada.
Wakitoa malalamiko yao wakuu wa shule walisema Mh Wenje aliahidi kusomesha wanafunzi hao lakini toka Januari mwaka jana hajalipa ada kwa wanafunzi hao. Ada hiyo imefikia...
Wakuu nina decoder mbili za dstv, nataka kuziunga zote na niwe na uwezo wa kubadilisha channels kwenye kila decoder kwenye tv mbili tofauti kwa kutumia dish moja.
Naomba msaada wenu wakuu kama nimeeleweka.
SEKRETARIETI YADAIWA KUPENDEKEZA WAKATWE,VURUGU ZA NZEGA ZAWAPONZA
MAKALI ya panga la Sekretarieti ya CCM, yameanza kuonekana baada ya majina ya wagombea wa nafasi ya Halmashuari Kuu (Nec) ya chama hicho kupitia Wilaya ya Nzega, Mbunge wa Jimbo hilo, Dk Hamis Kigwangalah na Mjumbe wa Mkutano...
Yule Rais tuliyemchagua kwa kishindo mwaka 2005 amepotea, Rais tuliyemtegemea - aboreshe uchumi na kuondoa umasikini, aongeze nidhamu kwa watendaji serikali, apambane na Rushwa, aboreshe huduma za jamii kama afya na elimu, akuze demokrasia nchini - hayupo tena.
Huyu tulienae
[*=1]Ameshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.