Wenje katika kashfa ya kutotimiza ahadi

kapotolo

JF-Expert Member
Sep 19, 2010
3,727
2,214
Mbunge wa Nyamagana (Chadema) Ezekiel Wenje ametuhumiwa kushindwa kutimiza ahadi ya kulipia wanafunzi 130 wa sekondari ada.

Wakitoa malalamiko yao wakuu wa shule walisema Mh Wenje aliahidi kusomesha wanafunzi hao lakini toka Januari mwaka jana hajalipa ada kwa wanafunzi hao. Ada hiyo imefikia Tsh mil 18.

Source: Gazeti la Baruti.

Maoni yangu.
Mheshimiwa Wenje hizi zinaweza kuwa propaganda za kukuchafua, lakini kama ni kweli, hii itakuwa draw-back kubwa kwa chama makini kama chadema.

Nilitegemea Muwe wa kwanza kutimiza ahadi tena bila kuhimizwa, lakini kama na nyinyi mnashindwa kutimiza ahadi mlizozitoa bila wenyewe basi hatuna pa kukimbilia. Tutamwamini nani, hata vyama vya upinzani vinatugeukia.
 
kuna dalili za uongo, yaani watoto hawajalipiwa ada miaka miwili, nani kakwambia kuna utaratibu wa kulimbikiza ada hata kwa nusu muhula, mtawadanganya wasiosomesha kwa sasa. ccm inaharibu ufahamu wa watanzania.
 
kuna dalili za uongo, yaani watoto hawajalipiwa ada miaka miwili, nani kakwambia kuna utaratibu wa kulimbikiza ada hata kwa nusu muhula, mtawadanganya wasiosomesha kwa sasa. ccm inaharibu ufahamu wa watanzania.
Inawezekana mkuu, ndio maana nikasema inaweza ikawa habari ya kumchafua
 
Nafikiri ili kuingia form one au kuanza mwaka mpya LAZIMA uwe umelipa kiasi fulani cha ada.Sasa hao walimu au mwalim mkuu alikuwa wapi.Sidhani
 
Tusubiri taarifa Kamili,Wenye akanushe au athibitishe uwepo wa deni hilo!
 
Mbunge wa Nyamagana (Chadema) Ezekiel Wenje ametuhumiwa kushindwa kutimiza ahadi ya kulipia wanafunzi 130 wa sekondari ada.

Wakitoa malalamiko yao wakuu wa shule walisema Mh Wenje aliahidi kusomesha wanafunzi hao lakini toka Januari mwaka jana hajalipa ada kwa wanafunzi hao. Ada hiyo imefikia Tsh mil 18.

Source: Gazeti la Baruti.

Maoni yangu.
Mheshimiwa Wenje hizi zinaweza kuwa propaganda za kukuchafua, lakini kama ni kweli, hii itakuwa draw-back kubwa kwa chama makini kama chadema.

Nilitegemea Muwe wa kwanza kutimiza ahadi tena bila kuhimizwa, lakini kama na nyinyi mnashindwa kutimiza ahadi mlizozitoa bila wenyewe basi hatuna pa kukimbilia. Tutamwamini nani, hata vyama vya upinzani vinatugeukia.


Source: Gazeti la Baruti.

hapo ndo napata wasiwasi, Mbunge wangu hayupo hivyo.
 
Mtoa mada fafanua ada ya shule ambazo aliahidi kuwasomesha ni shilingi ngapi???? Watoto 130 miaka miwili ada 18ml!!!!
 
Hii hujuma inafanywa na mkurugenzi wa jiji la mwanza kuna habari nilishasikia Wenje akimlalamikia kuwa amekataa kuidhinisha check ya nmb ya hizo ada.tusubirie majibu ya wenje ukweli utajulikana.
Mimi lawama zangu kwa Wenje tulichanga pesa pale viwanja vya sahara kwa ajili ya madawati na sijawahi sikia pesa zilipoenda
 
Mbunge wa Nyamagana (Chadema) Ezekiel Wenje ametuhumiwa kushindwa kutimiza ahadi ya kulipia wanafunzi 130 wa sekondari ada.

Wakitoa malalamiko yao wakuu wa shule walisema Mh Wenje aliahidi kusomesha wanafunzi hao lakini toka Januari mwaka jana hajalipa ada kwa wanafunzi hao. Ada hiyo imefikia Tsh mil 18.

Source: Gazeti la Baruti.

Maoni yangu.
Mheshimiwa Wenje hizi zinaweza kuwa propaganda za kukuchafua, lakini kama ni kweli, hii itakuwa draw-back kubwa kwa chama makini kama chadema.

Nilitegemea Muwe wa kwanza kutimiza ahadi tena bila kuhimizwa, lakini kama na nyinyi mnashindwa kutimiza ahadi mlizozitoa bila wenyewe basi hatuna pa kukimbilia. Tutamwamini nani, hata vyama vya upinzani vinatugeukia.

Hapo kwenye red,

Kimahesabu ya haraka-haraka mambo yako hivi:-
Tzs. 18,000,000 / wanafunzi 130 / miaka miwili = Ada ya mwanafunzi mmoja (kwa wastani) ni Tzs. 69,230.77 kwa mwaka !!
Hapo sidhani kama ni ada za shule za sekondari.
 
Hili gazeti lina takriban mwezi mmoja na nusu tangu lianzishwe.Ukifuatilia matoleo yake ya kwanza utaona kuwa mengi yanazungumzia habari za kumchafua wenje.kila mara linapotoka linakuwa na habari za wenje.Anayejiita mmiliki wa gazeti hili ni mfanyakazi ktk kampuni ya Diallo.Huenda huu ni mkakati wa 2015 kulirudisha jimbo ccm maana bosi wake sasa ndio mwenyekiti wa ccm mkoa Mwanza
 
Hii hujuma inafanywa na mkurugenzi wa jiji la mwanza kuna habari nilishasikia Wenje akimlalamikia kuwa amekataa kuidhinisha check ya nmb ya hizo ada.tusubirie majibu ya wenje ukweli utajulikana.
Mimi lawama zangu kwa Wenje tulichanga pesa pale viwanja vya sahara kwa ajili ya madawati na sijawahi sikia pesa zilipoenda

suala la madawati alishawahi kujibu redioni kuwa kila mara ana utaratibu wa kugawa madawati kila mwisho wa mwaka,na mwaka huu atafanya hivyo mbele ya wananchi kwa pesa zilizochangwa
 
Ni utoto kuto jua maana ya kashfa!

Hichi nacho nimoja ya kiwanda alicho sema jk
 
Mimi lawama zangu kwa Wenje tulichanga pesa pale viwanja vya sahara kwa ajili ya madawati na sijawahi sikia pesa zilipoenda[/QUOTE]
Acheni uzushi mh mbunge alishatoa ufafanuzi kuwa wengi wa waliotoa ahadi hawajatimiza ahadi zao.Tungoje huo mwisho wa mwaka ambao ni utaratibu wake wa kugawa madawati mara kwa mara kama akishindwa ndio tumhukumu
 
suala la madawati alishawahi kujibu redioni kuwa kila mara ana utaratibu wa kugawa madawati kila mwisho wa mwaka,na mwaka huu atafanya hivyo mbele ya wananchi kwa pesa zilizochangwa[/QUOTE mkuu zilipatikana 70ml + anakaa nazo mwaka mzima ndio agawe madawati au anazizungushia mahali na kula riba,pili VIC FISH waliahidi kuchonga 40% zaidi ya tulizochanga wananchi.
 
Back
Top Bottom