kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Mbunge wa Nyamagana (Chadema) Ezekiel Wenje ametuhumiwa kushindwa kutimiza ahadi ya kulipia wanafunzi 130 wa sekondari ada.
Wakitoa malalamiko yao wakuu wa shule walisema Mh Wenje aliahidi kusomesha wanafunzi hao lakini toka Januari mwaka jana hajalipa ada kwa wanafunzi hao. Ada hiyo imefikia Tsh mil 18.
Source: Gazeti la Baruti.
Maoni yangu.
Mheshimiwa Wenje hizi zinaweza kuwa propaganda za kukuchafua, lakini kama ni kweli, hii itakuwa draw-back kubwa kwa chama makini kama chadema.
Nilitegemea Muwe wa kwanza kutimiza ahadi tena bila kuhimizwa, lakini kama na nyinyi mnashindwa kutimiza ahadi mlizozitoa bila wenyewe basi hatuna pa kukimbilia. Tutamwamini nani, hata vyama vya upinzani vinatugeukia.
Wakitoa malalamiko yao wakuu wa shule walisema Mh Wenje aliahidi kusomesha wanafunzi hao lakini toka Januari mwaka jana hajalipa ada kwa wanafunzi hao. Ada hiyo imefikia Tsh mil 18.
Source: Gazeti la Baruti.
Maoni yangu.
Mheshimiwa Wenje hizi zinaweza kuwa propaganda za kukuchafua, lakini kama ni kweli, hii itakuwa draw-back kubwa kwa chama makini kama chadema.
Nilitegemea Muwe wa kwanza kutimiza ahadi tena bila kuhimizwa, lakini kama na nyinyi mnashindwa kutimiza ahadi mlizozitoa bila wenyewe basi hatuna pa kukimbilia. Tutamwamini nani, hata vyama vya upinzani vinatugeukia.