Napenda kuishauri Time ya Uchaguzi iwatumie Viongozi wa Dini katika kusimamia zoezi la uchaguzi siku ya Jumapili. Kwa haya malumbano yanayoendelea ya kukaa mita 200 kutoka kwenye kituo au kwenda nyumbani baada ya kupiga kura yanaweza yakaisha.
Naamini kila eneo lina Viongozi wa Dini kama vile...
MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA YAWE HIVI
Tume ya mabadiliko ya katiba imetoa mwongozo wa jinsi ya uundwaji wa mabaraza ya katiba ya wilaya. Mie sina shida sana na uendeshaji wake, bali nina matatizo kuhusu muundo na utaratibu wa kuwapata wajumbe watakaounda mabaraza hayo.
Kwa mujibu wa Tume...
Ndugu Wana JF, tarehe 1 may Kampuni ya Startimes inayojihusisha na masafa ya kurusha matangazo ya television kwa njia ya digital ilifungua mtambo wake wa kurusha masafa hayo mkoani Mbeya, cha ajabu mamia ya wananchi wa mkoa huu leo walijazana kurudisha ving'amuzi hivyo baada ya kushindwa kufanya...
Wana JF, nimemsikia jioni hii BBC Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Bw. Nape kuhusu kujivua gamba. Ila kwa matamshi anayoyatoa ya kumchafua Ndg. Edward Lowasa siyo ya kiungwana wala kianaume, kwa sababu mi naamini wanaume kama kuna matatizo huwa wanakaa na kuongea na kuyamaliza au kutoyamaliza...
Wana jf, naombeni kwa mwenye taarifa za aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya rais ya kubinafsisha mashirika ya umma tanzania ndugu john lumbambe yupo wapi na anafanya nini? Maana huyu ni mmojawapo wa watu wasiopaswa kusahauliwa katika the list of shame. Aliyauza mashirika yetu kwa bei chee na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.