Tarehe 26 April ni siku muhimu sana kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...tutasherehekea sherehe za Muungano like never before..
Rais wetu mpendwa akishamaliza kusema ya kwake pale Uwanja wa Uhuru na kuondoka na viongozi wenzake kwenda kula ubwabwa na mvinyo laini Ikulu...sisi raia wengine kwa...
Hakika tuko kwenye 'right track( or 'lait tlack - wareva) kama asemavyo mheshimiwa Rais wetu mpendwa, Dr. Magufuli...tuongeze bidii kwenye kazi zetu za uzalishaji kila mtu kwenye sehemu yake...tutatoboa tu, haha!
Maandamano ya nini Tenaaa???( In Mzee Tupatupa's voice).
Kada wa CCM Bi Shyrose Bhanji leo katika kusherehekea Siku ya Wanawake duniani amewatumia pongezi za kipekee Mama Janeth Magufuli na Mama Samia kwa MOYO WA UVUMILIVU...nafikiri ameacha tu kusema yeye yangemshinda..
Tweets za Rais Magufuli zimekuwa zikiibua utata mkubwa kutokana na watu kuamini kuwa anachokiandika huwa hakitoki moyoni kwa sababu maandishi yake kwa kiasi kikubwa ni tofauti sana na kauli ama matendo yake...leo tena kaposti kuwatakia Wanawake heri ya siku yao, kinyume kabisa na dhamira yake ya...
Last year, President John Magufuli announced that schoolgirls who get pregnant will not be allowed to go back to school after giving birth.
“As long as I am president … no pregnant student will be allowed to return to school … After getting pregnant, you are done,” the president said.
Read...
Difficult roads always lead to beautiful destinations...
Hakika Rais yuko peke yake.. Watu wakiamua kukinukisha hakuna nguvu itakayowazuia... Dola iko na bidii kutengeneza maadui hata ambao hawakuwa maadui!
Hata siamini mjue,
Mwijage is no where to be heard, Sizonje is at a loss..
Sasa ni kusumbua wafanyabiashara, kuwatisha na kuwanyang'anya mali na fedha zao...nyumba, mashamba, viwanja, magari nk.
Bombardier zimeyeyuka...elimu bure uongo mtupu, mimi kila mwezi nalipa michango inayozidi...
TANZANIA'S main opposition party on Saturday accused police of shooting dead a female university student and seriously injuring at least four other people while trying to disperse a peaceful demonstration in the country's commercial capital Dar es Salaam.
The local police have admitted a person...
Nawasihi wale tunaoonewa sasa, tunaopigwa, kutekwa, kuuawa na kusingiziwa kesi tusikate tamaa...hizi dhulma zimefanyika mno hasa Zimbabwe na Ethiopia lkn tawala za kidhalimu na kifedhuli huko zimekoma mbona...tusikate tamaa, huu uchokozi wa makusudi unaofanywa na watawala kwa raia wapole...
IGP Sirro pamoja na Waziri Mwigulu kila wakati walipotakiwa kueleza hatua iliyofikiwa na jeshi la Polisi katika kupeleleza tukio ovu la kujaribu kuuawa kwa kipenzi chetu Tundu Lissu walikuwa wakijibanza kwenye kona na kisingizio dhaifu kuwa Upelelezi huo umekwamishwa na Dereva wa Tundu Lissu...
Natabiri muda si mrefu tutatangaziwa kuwa Tanzania imefanikiwa KUTOKOMEZA ugonjwa wa Malaria...
Sasa hivi kama unatafuta tiba ya malaria katika hospitali na vituo vya afya vinavyomilikiwa na serikali subiri tu kufa muda si mrefu...vipimo vyao havioneshi tena vimelea vya malaria katika mwili...
Wapo Marais katika nchi zetu hizi maskini - shithole countries kwa mujibu wa Trump, and rightly so - ambao wanapotuhumiwa kuwa wamekuwa na tabia za kidikteta ama wana makusudi ya kubadili katiba za nchi zao ili watawale milele huishia tu kujitetea kwa kutoa majibu ya juu juu...kwa mfano...
Mimi nahoji tu, hivi mbona Rais wetu mpendwa anakuwa na mwelekeo wa kuwa na wivu na hila sana na maisha binafsi ya raia wa nchi hii? Kwani ni lazima kuwasimanga watu kila wakati kwa vyakula wanavyokula, nguo wanazovaa na fedha na mali wanazomiliki, au mwelekeo wao itikadi za kisiasa...
I SAY NO!
Ikiwemo kuzuia wasichana waliopata ujauzito kuendelea na shule, kufungia vyombo vya habari na kuzuia shughuli za vyama vya siasa...
Read the full article here:
By Abdi Latif Dahir
The list of bans imposed by Tanzania’s populist president just keeps growing
Wanawake wa Tanzania TAFADHALINI...AMKENI na fanyeni kile walichokifanya wenzenu wa Kenya tarehe 13/11/2014...waliwakatalia wapuuzi wachache katika nchi hiyo waliotaka kuwachagulia aina ya nguo za kuvaa...wakaandamana katika kampeni waliyoiita MY DRESS MY CHOICE...kwamba usiruhusu mtu...
Haya tena, yule mpinga takwimu kazi kwake:
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
In brief:
"A May 2017 survey (pdf) by Afrobarometer, a research network, shows that over 70% of Tanzanians believe corruption in the country had decreased “somewhat” or “a lot” in the previous year. This is in stark...
TBC kwa sasa wanafanya propaganda za kipuuzi na za hovyo mno - sijui lengo lao ni lipi pale wanapoonesha vipande vya picha za vita na mauaji katika nchi mbalimbali hasa Rwanda katika taarifa yao ya habari.
Kwa udadisi tu nilitaka kuangalia taarifa yao ya habari usiku wa leo kuona...
Jamani ee...baada ya aibu ya Bombardier kukamatwa na wadeni wake Canada, kwanza Rais Magufuli alinyamaza, kisha akaamua "kumshughulikia" Lissu kabla kuzungumza kwa majigambo makubwa akiwa ziarani Mwanza kwamba si tu Bombardier iliyokuwa imeshikiliwa ingetua nchini, bali pia ndege zingine 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.