JiweKweli jemadari...
Sasa kama mtu alikiri kabisa ana Frastresheni zake wewe hujui Frastresheni ni mpwa wa Delusion ?Gado anatutukutania Mkuu wetu, kwa sababu hapo anamaanisha ana Delusion.
delusion
dɪˈluːʒ(ə)n/
noun
Sasa haya si matusi? Lazima tukemee matusi haya kwa mkuu wetu hata kama yapo katika lugha ya picha.
- an idiosyncratic belief or impression maintained despite being contradicted by reality or rational argument, typically as a symptom of mental disorder.
Mimba ya Magufuli lazima uzae mapacha si bureRais Magufuli katika FIKRA zake anajiona mtu TOFAUTI kabisa na tumwonavyo sisi raia wake...hii ni kwa mujibu wa Mchora Katuni maarufu Mtanzania, GADO...
View attachment 713911
Haya mods kimbilieni haraka haraka kuupeleka huu uzi kwenye Jukwaa la Picha maana ndo style sasa!
Mungu mbariki GadoRais Magufuli katika FIKRA zake anajiona mtu TOFAUTI kabisa na tumwonavyo sisi raia wake...hii ni kwa mujibu wa Mchora Katuni maarufu Mtanzania, GADO...
View attachment 713911
Haya mods kimbilieni haraka haraka kuupeleka huu uzi kwenye Jukwaa la Picha maana ndo style sasa!
Ni kawaida ya viongozi wa kiafrika kuwa hivyo, mm nahis ni mshamba tu
Ni kweli mkuu! Umenikumbusha movie moja ya kuchekesha the great dictator (charlie Chaplin)Hahaja anajiona zaidi ya hivyo.
Hata mm naamini magufuli amelewa madaraka.kapata madaraka makubwa kuliko uwezo wake.
Anajiona Mungu anauwezo wakufanya lolote la aina yeyote.anajiona Mungu mtu.