Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Hakika tuko kwenye 'right track( or 'lait tlack - wareva) kama asemavyo mheshimiwa Rais wetu mpendwa, Dr. Magufuli...tuongeze bidii kwenye kazi zetu za uzalishaji kila mtu kwenye sehemu yake...tutatoboa tu, haha!
Maandamano ya nini Tenaaa???( In Mzee Tupatupa's voice).
Maandamano ya nini Tenaaa???( In Mzee Tupatupa's voice).