kwanini unataka kummiliki? nashauri uweke wazi nia ya moyo wako, na kwa matendo utakayo onyesha atakuona kuwa una nia ya dhati. kinachohitajika kwa mwanamke wa namna hiyo ni mwanaume kuonyesha UJASIRI na KUJIAMINI, mengine yatatokana na nyie wawili.
hata 9/11 twin towers zilivyoanguka zilirekodiwa na hata latest boston bomb nayo kuna video, so cha ajabu kipi hapo?
kweli nimezidi kumdharau huyu mbunge, na sina jina lingine la kumuita zaidi ya KUBWA JINGA!
i have watched the clip and it has left me with many questions and more insight on the DRC situation.
my concern is our goverment participation on the past election as one of the members shared... are some of us really safe?! my fear comes from Rwanda involvement as Kagame has been (is) accused...
si kweli hata kidogo kwa hayo usemayo juu ya bukoba,
kwa wachaga nimefika pia ndio kuna maendeleo, hivi umetembelea vijijini? Bukoba hawezei kulia njaa hata siku moja, huwezi linganisha kilimo cha wachaga na wahaya, wachaga walisusia kahawa, na ndizi hazilimwi kwa wingi... mbao ndio kwa...
mkuu umenena vema,
nami nimpita kwenye wilaya za mkoa wa kagera siku chsche zilizopita na kuyaona yafuatayo:
juhudi binafsi za wazawa kwenye uzalishaji (upandaji wa miti, maharage, ndizi na mahindi na uvunaji wa maji ya mvua)
makazi mazuri tena ya kisasa, hii zaidi karagwe vijijini.
muamko wa...
Ni kweli TPN wameshaanza kuhamasisha watu kuchangia walioathirika na mafuriko! Swali kwa Rev. Je suala ni nani kachangia? Tunajuaje kama ameshatoa msaada kimya kimya akiwa kama Msimbe? Ni wazi kabisa hawezi kuita vyombo vya habari sasa kwani si kiongozi tena TPN! Inabidi ifike mahali tuweze...
Salaam,
Nipo diamond jubilee kwenye uzinduzi wa album mpya ya mrs. Shusho, ila nasikitika kusema kuna baadhi ya maneno ambayo nimeyasikia mwenyewe ambayo yanaashiria kuwa mheshimiwa Membe ameanza campaign kwenye makanisa ya pentekoste! Yupo hapa na vijana wake wawili, mmoja kutoka wizarani na...
Tatizo sio salama kama salama ila nafasi aliyo nayo mzazi wake! Hivi uilshawahi kujiuliza kwa nini coca-cola bottlers au pepsi wakiwa na promotion wanatoa note kuwa wafanyakazi na familia zao hawaruhusiwa kushiriki?! Na hata wakishiriki, hawatapewa zawadi pindi tu status yao itakapojulikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.