Mwigulu toka Bungeni: CHADEMA ndio waliolipua bomu mkutanoni kwao

Ha ha ha, nimemsikiliza, na CCM inaonekana wanamhusudu sana, swali ni kwamba, yeye anasema taarifa ya kuwa kaitoa kwenye Taarifa ya Jukwaa la Wahariri kuwa CDM inashirikiana na Askari wasio watiifu kuhujumu CCM! Ni hatareee!
 
Wewe technologia iimekupita pembeni kaa kimya! Tafuta mwandishi wa habari makini akuelezee jinsi ya kufanya kazi ktk hayo mazingira!
Hii ina mashiko kiasi. Ebu fikiria bomu limelipuka bila watu kujua then mtu anakuja na video mwanzo mwisho, alijuaje kama bom litarushwa. Na kwa hali ile baada ya bomu kulipuka hakuna anayekumbuka kamera. Kwa kias kuna kahoja hapa hata kama mtanitukana.
 
Hili jambo kwamba cdm ndiyo wamejirushia bomu kwenye mkusanyiko wao kwa wao it's so obvious halihitaji hata u_crack mind to find out, logic tu ya layman utajua kuwa cdm inajaribu kuwapa watu reason za kupigana dhidi ya serikali yao!!
And through this wao,"cdm" ndipo wanajitengenezea mazingira mazuri ya kufanikiwa na "mambo" yao.
People need to know that Politics is a "very dirty" game.
Lakini je! Sasahivi wako tayari kueleza wanaarusha sababu haswa za kitendo walichofanya?
ndio furaha yetu mutajikanyaga kubadirisha ukweli lakini wapi statement ya maneno manne ya Mbowe CCM nzima munaweweseka hamna ujanja this time munavuliwa nguo Kikwete jini makata la kunyonya damu kwa kuruhusu mauaji kwenye nchi amejianika mumepanic aisee
 
Saa moja hii Hujachelewa kuchukuwa buku 7? Au itakuwa arrears kesho ulambe two times!

jiteteeni na hapa. Waandishi wa habari washindwe kuchukua huyo aliyechukua ni nan, na alijuaje bom litalipuka na yeye ni nani mpk asikimbie aendelee tu kuchukua wakat wengine wakikimbia ovyo. Akili ndogo ya cdm haiwezi kuishinda kubwa ya serikali.
 
Kinachonishangaza, Ben Saanane ameweka pati 1 halafu anasema watu wasubiri part 11 what does it mean???!

Hiyo part 11 iko studio au?!

halafu utatengenezaje video part 1 na 2 wakati part 1 yenyewe ina dakika 4.19 tu. haya ni maajabu makubwa na ni matokeo ya chama kuongozwa na DJ. anavyofikiri kuwa kila kitu kina part one na two kama zilivyo zile filamu za akina anord
 
Haiingii akilini kabisa. Kama umeangalia ile video vizuri kuna watu wengine pia wanaonekana wana kamera na simu wanarekodi lakini pia taaruki haikuwa kubwa sana mwanzoni kwani kama desturi kwa Tanzania hatujazoea hayo majanga ndo maana matukio mengi ya namna ile watu hawakimbii mwanzoni tu. jamani sisi siyo swala kukimbia ovyo. Mwigulu leta hoja nyingine please acha kudhiaki waliokufa
 
Lazima ajichanganye maana damu ya watu wasiokuwa na hatia lazima inamchanganya. Mara ni CHADEMA mara watu wa nje wasiotutakia mema kwa sababu ya ugeni wa wakuu wa nchi na mataifa makubwa ya dunia.

kUHUSU MPIGA PICHA HAJUI KWAMBA wapo professionals ambao wanachukua picha kwenye mazingira kama hayo.

Watatwambia mengi sana, lakini wapaswa kuju kwamba damu ya wasio hatia haiwezi kupotea bure. Wajue kwamba anguko lao ndo liko njiani linakuja.

Maswali ya kujiuliza:-
1. Kwa nini wanajitetea sana
2. Kwa nini wasemaji wa serikali wanashindwa kutuelezea hali inayoendelea
3. Kwa nini sasa wimbo umebadilika kwamba CHADEMA imemvalisha nguo za kipolisi aliyelipua
4. Kama nchi tunafikia mahali watu wanavalishwa nguo za kipolisi na polisi wapo hapo wasimtambue kwa nini tusiwaite ni dhaifu
5. Kwa nini Chagonja anang'angania video ya CHADEMA? Alipelekwa kutafuta video ya CHADEMA au kuongoza timu ya upelelezi kujua chanz cha tukio
6. Intelijensia wanayotamba kuwa nayo akina Mwema iko wapi

Mwisho niwashauri viongozi wa CHADEMA kuitisha mkutano wa Kamati kuu na kutoa tamkom la kuwataka wananchi waingie barabarani siku ya ujio wa OBAMA ili dunia ijue maonevu haya yanayofanywa na CCM na serikali chovu.
​

 
hata 9/11 twin towers zilivyoanguka zilirekodiwa na hata latest boston bomb nayo kuna video, so cha ajabu kipi hapo?

kweli nimezidi kumdharau huyu mbunge, na sina jina lingine la kumuita zaidi ya KUBWA JINGA!
 
mwigulu na mama hawa ghasia ....mwizi wa pesa za sensa ...na mishahara hewa ......wanaongea kama vile wao sio mawaziri .....chuki na ubaguzi....
At least mzee mwandosya anaongea kistaarabu....

Nakosa matumaini kabisa na maendeleo ya nchi hii kama tutaendelea kuwa na mawaziri kama hawa.
 
Bwana Mwigulu kadai ni CHADEMA wenyewe ndio wamepanga mauwJi ya Arusha kutafuta umaarufu wa kisiasa.

Amedai kuwa iweje mpiga video wa U tube achukue tukio zima na asishituke kama vile anachukua shooting ya send off.

Adai ana ushahidi wa mipango ya mauwaji toka yale ya Morogoro hadi ya Arusha.

Huyu Savimbi anajua kwamba kupiga picha za matukio ni fani za watu yaani "Proffession" anataka kusema daktari akiwa na mgonjwa mezani theatre na bahati mbaya akawa anakata roho basi akimbie? huyu mtu anatumia kichwa kufikiri au anafugia nywele?
 
Hili jambo kwamba cdm ndiyo wamejirushia bomu kwenye mkusanyiko wao kwa wao it's so obvious halihitaji hata u_crack mind to find out, logic tu ya layman utajua kuwa cdm inajaribu kuwapa watu reason za kupigana dhidi ya serikali yao!!
And through this wao,"cdm" ndipo wanajitengenezea mazingira mazuri ya kufanikiwa na "mambo" yao.
People need to know that Politics is a "very dirty" game.
Lakini je! Sasahivi wako tayari kueleza wanaarusha sababu haswa za kitendo walichofanya?

Kwa mujibu wa chagonja.

Awali kabla ya ushahidi wa picha, bila aibu wala haya aliihusisha chadema na kifo cha mwangosi, baadae picha zikamuumbua.

Je wewe unasemaje? kwamba kauli za uzushi juu ya kifo cha mwangosi, si ndiyo hizi mnaziendesha kwa tukio la Arusha?
 
Mwigulu ndo muauaji wa arusha, na ndo aliyepanga ulipuaji wa bomu hilo! Baada ya kupata mafunzo china!
 
kwenye hizi ishu za mauji chadema hawawezi kukwepa katika haya suala la arusha hata wakifanya nini watanzania watajua tu.
 
Leo wamesepa kuchangia hii thrd. Ukweli utajulikana, na huyo anayesema iko studio anaitunga hana jipya. Kweli hawa CDM hawana nia nzuri na watanznia akili zao zinawaza madaraka tu na sio kuwasaidia watz. Hawafai kuongoza nchi. Tusidanganyike na chadema.
 
Kuna jambo kwenye hotuba yake: Huyu jamaa Mwigulu inaonekana ameanza kuhojiwa na usalama. Pia anayoongea afande Chagonja kuhusu tukio hilo,ndo aliyoongea Mbowe masaa machache baada tukio. Kingine ni kuwa uwezekano kuwa polisi walihusika ni mkubwa,ndo maana anasema kuna baadhi ya polisi wanashirikiana na CDM.Watatajana sasa hivi,mnara Babeli huo unabomoka;Lugha gongana imeanza.
Ee Mola utuonyeshe ukweli katika hili giza.AMEN
 
SATELITES ZIPO KWA AJILI YA KUANGALIA USALAMA WA CDM KATIKA MIKUTANO YAKE.Kwa hiyo CCM msishangae sana make mliko nyie sisi CDM tulishandoka kitambo.Nyie (CCM) mko ANALOGIA, Sisi wapigania uhuru (CDM) tuko DIJITARI muda mrefu.UMBUMBU wa nchemba,sisi hata hatushughuliki nao,yeye aendelee tu kubwabwaja sisi tuna songa front.
 
Hii ina mashiko kiasi. Ebu fikiria bomu limelipuka bila watu kujua then mtu anakuja na video mwanzo mwisho, alijuaje kama bom litarushwa. Na kwa hali ile baada ya bomu kulipuka hakuna anayekumbuka kamera. Kwa kias kuna kahoja hapa hata kama mtanitukana.


Hata lile bomu lililo lipuka kule Boston Marekani video ilipatikana mwanzo mwisho kwa hiyo kwa akili yako kuwa nayo ilipangwa. Ebooo be serious
 
Back
Top Bottom