Unatongoza vipi mwanamke aliyekuzidi kwa kila kitu?

kwanini unataka kummiliki? nashauri uweke wazi nia ya moyo wako, na kwa matendo utakayo onyesha atakuona kuwa una nia ya dhati. kinachohitajika kwa mwanamke wa namna hiyo ni mwanaume kuonyesha UJASIRI na KUJIAMINI, mengine yatatokana na nyie wawili.
 
Kadri mwanamke anavozidi kuwa mzuri sana au kuwa na pesa sana
au kuwa na akili za darasani nyingi sana...ndio anazidi kuwa insecure....

mwanamke akiwa insecure anatongozeka kirahisi....

Shikamoo The Boss i miss u baba
 
Last edited by a moderator:
.......swahibaa!!!


Vipi swahiba, mzima?

Mbona wanishangaa......?

Unajua tulivyokuwa wadogo tuliamini kuwa wazazi wetu haendagi toilet? Similarly, tuliamini kuwa kuna maneno baadhi ya jinsi (gender) hawawezi kuyatamka. Kumbe tumebugi....lol!!
 
Kweli mkuu. Kama tu hajakuzid elimu, umri,pesa, bado unahitaji akili nyingi kwenda nae sawa...wat if kakuzidi hayo pia

Kila kitu kinafanyika kichwani...it's like the right key for the right door!

Ukishaujua ufunguo na ukawa nao mkononi utashindwaje kuingia ndani?
 
Kadri mwanamke anavozidi kuwa mzuri sana au kuwa na pesa sana
au kuwa na akili za darasani nyingi sana...ndio anazidi kuwa insecure....

mwanamke akiwa insecure anatongozeka kirahisi....
Mkuu sijakuelewa sana inaweza kuwa kweli ila sio kwa wote, kuna wengine wako very strong sana.

Kwa dunia ya leo tunahitaji wanawake strong ambao wanaweza kukabiliana na wanaume wakorofi wanaoishi karne ya 17
 
Mkuu sijakuelewa sana inaweza kuwa kweli ila sio kwa wote, kuna wengine wako very strong sana.

Kwa dunia ya leo tunahitaji wanawake strong ambao wanaweza kukabiliana na wanaume wakorofi wanaoishi karne ya 17


Hakuna mwanamume au mwanamke strong kwenye mapenzi.

Kama unataka ushahidi wa kuhusu hilo nambie!
 
Easy huyo mnunulie mauwa mpelekee, first time yako, na kimeseji kadogo na number
 
Easy huyo mnunulie mauwa mpelekee, first time yako, na kimeseji kadogo na number


Hivi unaweza kupewa kwa kumpelekea mwanamke wa kibongo burungutu la maua?

May be naogelea katika bahari ya mwaka 1947... ambayo tulikuwa tupeana hata ubuyu!
 
Hivi unaweza kupewa kwa kumpelekea mwanamke wa kibongo burungutu la maua?

May be naogelea katika bahari ya mwaka 1947... ambayo tulikuwa tupeana hata ubuyu!

Hahahaha, my point hujaipata,na furushi LA mauwa hujui maana yake
 
No matter mwanamke yukoje either kwa uzuri au kwa utajiri na cheo, ukimuendea kwa kujiamini huwa ni wepesi sana, pesa na uzuri hazibadili chochote kwa mwanamke!

Mm najiamini sana, hii ni tangu nikiwa mdogo, huwa sina uoga, kuthibitisha hilo nikiwa form 1 nimewahi kumtongoza second master ambae alikuwa anaogopwa hata na baadhi ya walimu wenzake kwa ukali na uzuri wake....alinizungusha sana hadi kufikia form2 nikakabidhiwa mzigo rasmi!

Kwa taarifa yako Wanawake wanapenda sana mwanaume anaejiamini#???

hahaaaa BIGURUBE we noumaaaaah khaaaah
 
Last edited by a moderator:
Kadri mwanamke anavozidi kuwa mzuri sana au kuwa na pesa sana
au kuwa na akili za darasani nyingi sana...ndio anazidi kuwa insecure....

mwanamke akiwa insecure anatongozeka kirahisi....

Umemaliza kila kitu,

Fikra za watu wengi ni kinyume na Reality, wengi wa hawa wanaoitwa "wamekamilika", ndani wana matatizo kibao na vulnerabilities za kutosha. Wengi wanatamani tu mtu wa kuwasikiliza bila kuwaogopa kwa mafanikio yao, kwisha kazi.
 
Unamuambia tu mi hali yangu nadhani unaiona, kwa hiyo nakusikiliza wewe..

Ha ha ha ha haaaa Jibu linafurahisha kweli hili, hata sijui uliwaza nini kutoa wazo kama hili...najaribu kupiga picha hali ya mwonekano wa mtongozaji kwa wakati huo....ha ha haaaa.
 
Bado hujapata jibu mkuu au umeenda kwenye mafunzo kwa vitenndo?

Hivi umemwita mzee mwenzangu Asprin ashuhudie hili tukio ambalo lina mvuto wa aina yake?
Kwakweli hili tukio la kihistoria. Yani hapa Simba anaomba ushauri wa uwindaji kwa fisi......

Mkuu nimepitia moja baada ya nyingine nataka nijianda kwenda Dodoma maana mhusika yupo mjengoni ila anatembea na mabodigadi sasa sijui itakuwaje anyway hivohivo! Asprin kakaa hata kunipa mauzoefu yake kimya mtu huyu ni wa hovyo!

Kama ni ni yule aliyebadili vyeo ndani ya miezi mitatu na akaukwaa unaibu..... nakutakia kila la kheri. Mbinu za kumnasa ntakugea private. Masimba menzio yasije yakakuwahi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom