SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border.
Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh.
Njooni tuwape...
Kundi la Alshabaab limethiri ya kwamba raia wa Tanzania alihusika katika shambulizi la Manda airfield huko Lamu Kenya.
Jamaa huyu alislimu na kuwa muislamu mwaka wa 2015, kisha akapelekwa Somalia kupigana.
Nimewaambia mara ngapi nyie bongo kwamba mna shida ya ugaidi nchini mwenu. Tanzania ndio...
Vikosi vya Kenya Police Special forces ( AP SOG and BPU) vilivamia kambi ya wanamgambo wa Alshabaab huko Boni forest,Lamu county.
Magaidi hawa hutumia upana wa msitu huu kufanya mashambulizi yao katika huu msimu wa Krismasi na January kisha kukimbilia Somalia na kurudi wakati wa Iddi tena huko...
Duuuh poleni ndugu zetu, nimepata habari hizi leo. I hope Pombe alideal na hii issue.
Si vizuri kuona bus zenu za mwendokasi zikizimika barabarani kwa sababu ya mafuriko
Shida inaweza kuwa gani: design ndio ilikuwa mbaya, mchina aliwacheza chenga ama ni drainage mbovu mnazo?
I hope hakuna...
About time we started updating our little brothers from down south about the major progress Kenya is making as a country.
Nitaanzia jiji kuu huku East & Central Africa, providing daily updates hadi likamilike🔥🔥
For many years, the railway line from Nairobi to Nanyuki was a forlorn and dilapidated metal track overgrown with bushes in many places, a pitiable but poignant reminder of the gradual decay of what had been once a vibrant transport corridor.
The revamped Nairobi-Nanyuki railway is positioned...
Top 10 most beautiful Kenyan girls/ women on Instagram ACCORDING TO ME from 10 to 1. Remember beauty is in the eyes of the beholder, give the girls a follow and please don't be creepy/weird :) .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.