Namba DEE
Mwaka 2003
Engine size ni cc 1,490
Ipo kwny hali nzuri, inatembea, tairi mpya radio, seat cover n.k
Bima mpya
Engine kavu, Imetunzwa sana!
Location: Udsm/Ubungo
Call/WhasApp 0764875468 au 0655744410
Bei ni 8.7m (mazungumzo yapo)
Picha zaidi na maelezo, njoo Pm
Wakuu asalaam aleykum!
Kuna hizi gari toyota raum kuwa na tatizo la kuwaka "alama ya pembetatu na mshangao ndani yake (red triangle sign)" kwenye dashbord.Mwanzoni nilidhani ni hii tu yangu ila nimefatilia kwa watu wengi wenye raum nakuta tatizo hilohilo na wanaendelea na mishe zao, wengine...
Kumbukumbu ya miaka 55 toka kuasisiwa kwa chuo kikuu Dar es salaam yanaendelea hapa chuoni,chancellor hon.Dr.J.K Kikwete yupo kama mwenyeji! Prof.Tade Aina toka Nigeria,jaji mstaafu Warioba na wadau mbalimbali wa elimu wamehudhuria .....Tuendelee kupeana updates
jamaa aliwahi kusema katika nyimbo zake kuwa lowassa akiwa mgombea atampigia kampeni na sasa ameachia juzi kati wimbo uitwao lowassa! ingia www.tabelltz.com uudownload umsikie anamwaga sera!
hili swali najiuliza sana,mbona ukawa mmepita majiji manne tu i.e (dar,mwanza,arusha na mbeya)+visiwani kumtambulisha mgombea na mkaacha tanga kama jiji pia,au ni mipango tu? mwenye kujua tafadhali!
mwenye uelewa anijuze maana tumeshasaini mkataba wa kazi toka juni 1 serikalini ila tukaambiwa kuanza kazi adi tuingizwe kwenye payroll na watu wa lawson! lakini adi leo hakuna jibu! hii inakuwaje wataalamu?
Mpenzi wangu kanirusha roho kuwa ni mjamzito baada ya majadiliano ya kama siku 2 kuwa eti ananiomba aitoe na kumkatalia.Baadae anasema hakuwa mjamzito ila alinipima tu! dah sijaelewa kabisa kwani wasichana hufanya hivyo.
Naomba maoni wadau
Nauliza ndugu zangu
Unapoitwa kazini Serikalini inakuwaje kuhusu pesa ya kuanzia maisha hapo kazini? Je, nauli hurudishiwa? ( Kama umetoka nje ya mkoa) au huwa kuna salary advance?
Mwenye kujua msaada tafadhali!
nilipigiwa simu ya confirmation kuwa nimepita katika usail uliofanyika feb 2015 na kuarifiwa kusubiri barua toka tume ya ajira mwezi huu kwa ajili ya kuripoti! ombi langu ni kama kuna mdau ataona tangazo la kuitwa kazini kutoka tume tujuzane hapa jf au pm! asanteni
nimekuwa mhanga sana katika suala la upangaji wa mishahara na madaraja yake, mfano TGOS,TGS, PSOS n.k watu tunaomba kazi serikalini kwa kuangalia madaraja yale lakini wengi hatuelewi ni kiasi gani hasa! mbaya zaid baadhi ya taasisi za serikali sijui wana madaraja yao?? mf,unawezakuta tangazo...
Ipo safi ina pad 2 japo moja imeharibka kwa hiyo pad moja inatumika, inatumia cd na flash,ina memory card 1 na cd 3 ! bei ni 110,000 tu.0764875468 kwa anayetaka
Watu wanaosadikika kuwa majambazi wamevamia duka moja la madawa lilokuwa linamilikiwa na nesi mmoja kisha wakamuua kwa risasi usiku huu muda wa saa 2 maeneo ya Kisesa Mwanza pasipo kuchukua pesa au kitu chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.