Nimesikia kelele nyingi za watu wako huku Mpiji Magohe kuanzia wakiwa stendi ya Mbezi ya shamba wakisubiri daladala zetu(mimi ni dereva wa daladala eicher kutoka Mbezi kwenda Mpiji).
Watu wanakuongelea sana lakini sio kwa uzuri wengi wanasema umewasaliti na shida wanazopata hujawahi hata kuja...
Nimepitia katika Instagram page ya #TFF nikitafuta taarifa rasmi za viingilio na wapi nitaweza kununua Ticket leo mapema ili nijiandae kwa mchezo wa kesho kushangilia maana na mm nimehamasika sanaa,lkn cha ajabu page hiyo haina chochote cha updates kama hizo na ukizingatia mchezo wa muhimu sana...
Naombeni mtujuze ticjet zinauzwa wapi na bei zake tafadhari naomba kwa yyte mwenye uelwqa anisaidie hao wanaoongea kuhakasisha watu sioni hata mmoja akizungumzia swala la Ticket l.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa cha habari chajitosheleza hapa naomba kuzimza na kamati ya Ushindi wa Stars ikiongozwa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda, binafsi nimehamasika saana na ushawishi unaofanywa na kamati lkn tatizo linakuwaga kiingilio wanavyoweka hao TFF hawajali, mm siendagi uwanjani hata kama ikiwa simba...
Habari zenu jamani, najua wahusika wapo hapa jukwaani tubaomba sana Uongozi muweke kiingilio cha bei ya chini ili wananchi tuujaze uwanja ktk kushangilia mechi ya Taifa Stars Vs Uganda ipo nguvu kubwa sana ktk sauti nw kelele za mashabiki. Kama mtaweza muweke hata 2,000/= mzunguko hakika tutajaa...
Hii ni Tahadhari kwake na uongozi mzima wa Chadema, ; John Mnyika tangu tukupe kura nyingi za kutosha umetusahau huku mbezi na posho za ubunge ndio zimekusahaulisha kabisa.
Matatizo yetu huku jimboni unayajua na hatuoni mabadiliko yyte.. isitoshe kama imeshindikana huko juu kutatua basi njoo...
Wakuu habari za leo,
Napenda kuiweka hii hoja mezani ili tuishauri shirika la Michezo Tanzania. Inashangaza sana uwanja wa mpira wa Zanzibar wa Amani ndio huo unaotumiwa kwa gwaride na shughuli za serikali mfano sherehe za Mapinduzi, hali hii inapelekea uwanja kutokuwa na ubora kama viwanja vya...
Habari zenu wana jf, kunadharura imetokea iliyosababisha uhitaji wa fedha kwa haraka inabidi niuze gari hii Naomba kwa atakaye hitaji tuwasiliana kwa Namba 0713926364
Bei ni Tsh 13 mil
Karibuni
Habari zenu wana jf, kunadharura imetokea iliyosababisha uhitaji wa fedha kwa haraka inabidi niuze gari hii Naomba kwa atakaye hitaji tuwasiliana kwa Namba 0713926364
Bei ni Tsh 13 mil
Karibuni
Picha zinajieleza mm ni mfanya biashara mjasiliamali naanza biashara.
Natafuta anaeuza viatu hibi ili nianze biashara kwa kununua na kuuza.
Mawasiliano
0625 568600 au 0755 103405
Kuna kiwanja kinauzwa kipo Mbezi Msakuzi, mazingira ni tambarare, umeme na maji ya Uhakika na yapo.
Urefu 40 * 20
40*16
Bei poa kulingana na hali ilivyo ya maisha
Mil. 9
Mawasiliano
0625568600
Piga simu tuongeee
Hivi nasikia Tanzania hii kuna madini mengi sana jamani na biashara ya madini watu wanatengeneza pesa sana mm nataka maarifa juu ya madini haya yanayo patikana humu nchi
1. Greenganet
2. Acqumarine..
Samahani kama nimekosea kuyaandika siyajui vzr
Habari zenu Professionals
Naomba msaada LAPTOP yangu inakataa kusoma DVD ninataka Ku burn haisomi kila DVD empty nikiweka inaanyesha X kwamaana hairambui..nimrjaribu aina nyingi za DVD lkn wapi
Naomba msaada hapo shida inaweza kuwa wapi?
Wakuu kuna MTU anauza water pump kwa Tsh. 200,000/= ameutumia mwezi mmoja na anauza kwa sababu anashida na fedha kwa dharura
Inatumia. Petroleum
Inch 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.