popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 371
Nimesikia kelele nyingi za watu wako huku Mpiji Magohe kuanzia wakiwa stendi ya Mbezi ya shamba wakisubiri daladala zetu(mimi ni dereva wa daladala eicher kutoka Mbezi kwenda Mpiji).
Watu wanakuongelea sana lakini sio kwa uzuri wengi wanasema umewasaliti na shida wanazopata hujawahi hata kuja kuwasikiliza na kutatua matatizo kwa pamoja au kuongea njia za kuishinikiza Serikali kupitia kodi zao ili iwafanyie kitu.
Wanalalamika Wamekosa mtu wa kuwaongoza ktk hilo watu wako huku.
Kwa hali ilivyo huku huwezi kupewa kura tena jiongeze waambie CHADEMA wakupe jimbo la Kibaha huko kwenda Mlandizi. Huku kumenuka tayari...
NIMEMALIZA KUFA KUFAANA...
Watu wanakuongelea sana lakini sio kwa uzuri wengi wanasema umewasaliti na shida wanazopata hujawahi hata kuja kuwasikiliza na kutatua matatizo kwa pamoja au kuongea njia za kuishinikiza Serikali kupitia kodi zao ili iwafanyie kitu.
Wanalalamika Wamekosa mtu wa kuwaongoza ktk hilo watu wako huku.
Kwa hali ilivyo huku huwezi kupewa kura tena jiongeze waambie CHADEMA wakupe jimbo la Kibaha huko kwenda Mlandizi. Huku kumenuka tayari...
NIMEMALIZA KUFA KUFAANA...