1:Greengarnet ipo tanga, lindi, morogoro.Hivi nasikia Tanzania hii kuna madini mengi sana jamani na biashara ya madini watu wanatengeneza pesa sana mm nataka maarifa juu ya madini haya yanayo patikana humu nchi
1. Greenganet
2. Acqumarine..
Samahani kama nimekosea kuyaandika siyajui vzr
Vp kuhusu bei zake na wapi soko zuri1:Greengarnet ipo tanga, lindi, morogoro.
2: aquamarine ipo Namtumbo Songea.
Sent using Jamii Forums mobile app