Habari za muda wadau! Mimi simu yangu ina tatzo moja. Kila nikihitaji kupiga simu inaniambia Acm limit exceeded. Naweza kufanya miamala au kupokea simu lakini siwezi kupiga. Nimejaribu Ku clear data kwenye dialer na contact ila tatizo bado. Mwenye ujuzi anisaidie. Natumia Nokia 1 dual sim yenye...
Wakuu habari za muda?
Nahitaji msaada kwa anayejua njia nzuri ya Ku root android 6 with or without PC
Nimejaribu kutumia app nyingi lakini sijafanikiwa, kuanzia framaroot, zroot kingoroot kingroot Dr fine na nyingine bila mafanikio!
Kwa anayejua njia rahisi ya Ku root anisaifie. Simu...
Habari ya siku wadau wa MMU,
Natumai mpo poa mnaendeleza vyema gurudumu la maendeleo.
Kuna tabia moja imezuka ambayo mwanzoni nilidhani ni utani kumbe kweli hii kitu ipo. kwa mabinti walio wengi kujiunga na baadhi ya magroup ya WhatsApp ambayo huwa yameundwa kwa lengo la kufundishana masuala...
Habari za jioni wadau! Naomba mwenye link nayoweza kupata fomu ya kujiunga na shule (joining instruction ) ya Tabora girls kwa form one wa mwaka 2017
Natanguliza shukrani!
Habari za muda wadau?
Na tatizo moja Simu yangu imegoma kuingizia chaji kwa njia ya kawaida kwa muda. Niikiweka charger kwenye soketi ya umeme haipeleki lakini nikitumia wire ya USB kuchajia kwenye TV/deki inapeleka bila tatizo. Tatizo linaweza kuwa ni nini?
Msaada Tafadhali.
Mchana mwema
Habari za kutwa wadau, naomba mwenye game la mpira la pes 2012 anipe link ambayo itaniwezesha kupta hilo game. Link nyingi hazina game lenyewe. Natanguliza shukrani za dhati. Chief-Mkwawa na Mwl.RCT
Habari za Usiku wadau wa jukwaa hili?
Na Tatizo moja kama kichwa cha thread kinavyojieleza. Nimedondosha simu yangu kwenye maji Nokia C1. nimeifungua na kusafisha maji yote ila sijaiwasha! Je Kuna uwezekano wa kupona kweli? maana ilishinda kwenye maji karibu kutwa nzima!
Habari za jioni wadau wa jukwaa la tech. Nina tatizo moja, simu yangu aina ya vodafone v875 smartmini imekataa kufungua (unlock) pattern nilizoweka. Tatizo lenyewe limeanza leo. Wamenambia niingize google account. Nimeingiza lakini mpaka muda huu imegoma kufunguka.
Mwenye ujuzi anisaidie...
Habari za jioni wakuu!
Naomba kujuzwa android app ambayo naweza kucheki video (kama ilivyo kwa tune in radio ambayo unasikiliza redio stations nyingi) nahitaji kama ntapata app yenye na sports chanel kama dubai sports na bein sports.
AHSANTENI
Kuna tetesi zimezagaa kuwa leo kocha wa manchester united david moyes ameachishwa kazi. Taarifa hizi zimezagaa goal.com, talksport espn na skysport mwenye taarifa juu hili atujuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.