mangi jr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 291
- 250
Habari za Usiku wadau wa jukwaa hili?
Na Tatizo moja kama kichwa cha thread kinavyojieleza. Nimedondosha simu yangu kwenye maji Nokia C1. nimeifungua na kusafisha maji yote ila sijaiwasha! Je Kuna uwezekano wa kupona kweli? maana ilishinda kwenye maji karibu kutwa nzima!
Na Tatizo moja kama kichwa cha thread kinavyojieleza. Nimedondosha simu yangu kwenye maji Nokia C1. nimeifungua na kusafisha maji yote ila sijaiwasha! Je Kuna uwezekano wa kupona kweli? maana ilishinda kwenye maji karibu kutwa nzima!