Hapa ni kama aliwakumbusha mawakili wa serikali : Hakimu: nimeombwa nizuie dhamana kwa maslahi ya Umma lkn kifungu 148 kinazuia kama DPP ataandika kwa certificate na sijaona certificate ya DPP na Rco sio DPP na kwa maana hiyo Rco hana mamlaka hiyo.
Hapa ni kama aliwakumbsha mawakili wa serikali : Hakimu: nimeombwa nizuie dhamana kwa maslahi ya Umma lkn kifungu 148 kinazuia kama DPP ataandika kwa certificate na sijaona certificate ya DPP na Rco sio DPP na kwa maana hiyo Rco hana mamlaka hiyo.
Unaambiwa ukienda safari chukua udongo wa sehemu unakoishi, ukifika uendako chukua udongo na changanya na udongo ulioenda nao, halafu weka maji na koroga kisha kunywa. Inaaminika ukifanya hivyo huwezi kuugua hovyo hovyo ukiwa safarini... Ila sijawahi kujua kama hili lina ukweli wowote
Jana nimemsikia makamu rais akili Shia kuvunja halmashauri ya tanga Jiji wakati huo huo anasema uchaguzi hautarudiwa kwa sababu ni gharama. Je wanataka kufanya nini??
Kweli wew jamaa noma hujui hata kudannganya. Kwa hiyo unataka kusema muda huu hapa Kimara kuna jua kali linawaka?? labda kama sio Kimara ya dar es Salaam
Kukusaidia tu ni kwamba mashindano yalikuwa yanaendeshwa kikanda jambo ambalo kwa uelewa wangu ni sawa. kwani hata serikali kuna wakati majukumu ya huyatekeleza kwa kanda. kwa upande wa Tanganyika zipo kaznda saba unaweza kuzitumia kwenye shughuli mbalimbali ikiwemo za utafiti. kanda zenyewe ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.