Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

Yeye katoka chooni,tatizo kubwa ni hicho choo kazi inayotakiwa kufanyika mwaka u ni kuvunja hicho choo make huenda kuna mavi mengine yamegandiana ndo maana baada ya kutoka lowasa,slaa akachungulia ndani akadhani mavi yameisha kumbe mavi mengine yamegandiana mpaka yanafanana na kuta za choo,nashauri choo kivunjwe kabisa
 
Dr. Slaa anatukanwa na vijana wake! Aisee. Octoba 25 mtuachie Amani yetu wote CCM na UKAWA. Atakaeshindwa akubali.
 
Umekurupuka bro. Dr.Slaa hajasema Kikwete ni msafi.anachoshangaa ni Chadema kumchukua fisadi Lowassa miongoni mwa mafisadi walioko ccm. Na nyie kama nyumbu mnatiririka tu.pumbavu sana.
Tunataka kukamata mafisadi kwa kutumia Fisadi maana magufuli ni zao la mtambo wa kuazalisha mafisadi, anapigiwa campaign na mafisadi na hivyo kuishia Kuwa mlinzi wa mafisadi.

Tutampa Kura fisadi aliyejeruhiwa then uone mziki wake
 
Ninapata shida sana kuamini kuwa Dr/Fr. Slaa ndo leo amekuwa kipimo cha usafi wetu...!!
Kwamba Dr./Fr. Slaa leo amekuwa mtu wa kuwaelekezea wengine vidole eti ni wachafu kama choo...
Huyu Padre muasi aliyezaa na kondoo wake akiwa bado ni mchungaji wa kondoo ndo leo anawaambia watu shetani ni nani na malaika ni nani...!!

Kwa vipande vya fedha amesahau madhambi yake na thamani ya utu wake anakuja hadharani kujivua nguo....??

He seems to be "Permanently Head Damaged" with his phd...!!
 
BRIEFING YA DR SLAA
STAR TV;

Kwa msomi yeyote anayefanya Utafiti lazima apate Primary Source na kwa masuala ya Richmond bila Mwenyekiti Mh Mwakyembe ningetoa wapi!!!mimi sio mtu wa kukurupuka ktk utoaji hoja hivyo nilikutana naye wazi bila kificho na ni Uhuru wa kila Mtanzania...Mengi amezungumza hayo ni baadhi....kama una kipengele cha ziada niulize

Juu ya mzazi mwenzake Rose anawaachia wanawake wenzake wampe maadili ya kuongea hadharani ila mimi nitaendelea kumthamini kama mzazi mwenzangu. Kuhusu watoto anaosema nimewatekekeza wote ni wakubwa wanaojitrgemea niwafanyeje.Nani asiyejua amakutana na Kinana na Kikwete...anatafuta kuongeza dau kwa hoja zisizokuwepo namtakia kila la heri

Aidha,Rostam badala ya kujibu hoja anatukana waendelee kutukana cha msingi Watanzania wanahitaji majibu.Na magazeti yanayoandikwa ni ya nani? Endeleeni umeme umetudi

Mwakahaba amesema Lisu hafai kuwa Msemaji wa Chama kama haelewi kinachoendelea-Mshahara alishaacha kupokea,Gari alilirudisha,Walinzi anawalipa mwemnyewe na Serena anajigharamia na kwamba kwa usalama wake hawezi kuchaguliwa mahali pa kukaa.

Pia anasema anamshangaa Mbatia -pilipili usizozila.....yeye ameongelea masuala ya CHADEMA ambako yeye hahusiki nacho inabidi tumfikirie tofauti..

Wanasheria mbalimbali na wasomi kwa nyakati tofauti wamekuwa na mashaka na uwezo wa Tundu Lisu kisheria wakati akijibu hoja za Dr Slaa.

Wamekuwa wakiuliza na kushangaa Wakili Msomi mwenzetu alipokuwa anaongea na mwandishi wa habari wa VOA kwa njia ya simu. Tumeshangazwa na namna ambavyo alijibu maswali ya mwanahabari yule.

Anaposema kuwa Kamati Kuu ilishampitisha Dr Slaa tangu mwezi January na kurudia tena mwezi April, hapa anatoa tena kuwa kuna ubabaishaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA kwa kukiukwa kwa katiba ya Chadema maana utaratibu wa kumpata mgombea haukufuatwa maana ilipaswa kuwe na uwazi kila mwanachama kugombea kwa kuchukua fomu kisha vikao husika vya chama kupitisha kwa kupiga kura.

Lakini pia anatupa maswali kama tangu mwezi January Slaa alipitishwa na Kamati Kuu, je ni kwanini mwezi July waliitisha mwanachama anayetaka kugombea achukue form ya urais ili hali tayari walikuwa na mgombea tayari?

Hapa wanakosa hoja ya Kusema Lowassa alionewa na mchakato wa kumpata rais ndani ya CCM maana nao walishafanya hayo mapema kama kweli mwenyekiti alifika kikao na majina yake mfukoni.

Pili anaposema kuwa mara baada ya kumpitisha Lowassa Dr Slaa alitupiwa vitu nje na mkewe maaana tatizo ni ufirst lady. Sasa hapa anatupa maswali ya kujiuliza kama Dr Slaa alifukuzwa na mkewe baada ya kunyimwa urais na huku kuna Picha walisambaza wakionyesha wazee wa baraza la wazee CHADEMA wakiwa nyumbani kwa Dr Slaa pamoja na mkewe na kueleza umma kuwa dokta amekubali kurudi kuongeza nguvu UKAWA na kusema kuwa alikuwa anapanga mikakati ya ushindi na kipindi hiko alikuwa likizo, je wazee wale walienda nyumbani kwa Dr Slaa kumwombea msamaha ili mkewe akubali kuendelea kuishi na Dr Slaa?

Kimsingi Lissu alipaswa kujibu hoja zilimtaja yeye na sio kuanza kuongelea privacy za watu, mbona yeye anayo mengi tu anayofanyiwa na mke wake hatusemi?

Kwa mfano Dr Slaa alisema kuwa kulikuwa na kikao cha watu wanne yaani Slaa, Mbowe, Lissu na Gwajima wakibishana kuhusu kama Lowassa ni Assets au Liability kwa CHADEMA?

Sasa Wakili Msomi Lissu alipaswa ama akubali au akanushe uwepo wa kikao hicho.

Na kama kilikuwepo na mazungumzo yalikokuwa yakizungumzwa ni tofauti na aliyosema Slaa atuambie ni mazungumzo yapi ni sahii.

Viongozi wa CHADEMA wakae na kutafakari namna bora ya kumjibu Dr Slaa na wafuasi wao wengi kwa hoja na sio majibu mepesi kwa hoja nzito na sio kutaka kuendelea kuwaburuza wafuasi wao.

EWE MZALENDO WA TAIFA HILI CHUKUA HATUA STAHIKI KATIKA KUCHAGUA KIONGOZI SAHIHI.
CHAGUA FISADI ALIYEJERUHIWA NA ANAE OGOPWA NA SERIKALI YA CCM MR.LOWASA KWA maendeleo yako na Tanzania
 
Jana nilizima tv baaba ya dr Slaa kukiri kuwa yeye na Gwajima ndiyo waliye mshawishi Mbowe ampokee Lowasa.Simheshimu tena Slaa,kura yangu ni kwa Lowasa.
 
Ameshastaafu siasa na tumemuelewa, Sasa kwenye media anatafuta nini? Mzee kama kweli umedhamiria kuuvuruga umoja wa ukawa hata sisi wachache tunaokuheshimu tutakudharau!.

"Kama ulifuatilia alisema wakimjibu atawajibu so tulia aseme ukwel........." MSIMAMO NDO KITU KIZURI"
 
Rose Kamili alishaachika na Dr Slaa. Hivi wewe unategemea mtalaka wako atakusema vizuri mbele za watu? Hapana, sio mwanamke wa Kitanzania. Mwanamke wa Kitanzania ukimuacha lazima akuongee vibaya mbele ya jamii hata kama ulimpa kila kitu alichotamani kuwa nacho. Mnakuwa kama hamuwajui wanawake walioachika. Dr Slaa ni msema kweli daima na mimi huyu mzee kwangu mimi ni shujaa hasa.

Umeongea logic mkuu, Dr Slaa nae kaiacha chadema hawezi kuisemea mazuri
 
Nani kakudanganya eti Lowassa ametubu dhambi ya ufisadi?

Kama kweli ameitubu basi kwenye sera zao watamke ufisadi ni kosa.
 
Dr.W.Slaa,
Umechoka na mapepo yako saba, unarudia rudia upuuzi wa kutuambia ukweli una tabia, kwani ulipozaa na yule mama aliyeolewa na Majimarefu si ulikuwa padre? Ukweli upi unataka kutuaminisha, ukamwacha mkeo na watoto japo uliwatelekeza wamekiri hawakuwa wanashindia mihogo, leo unakuja na wimbo wa kipumbavu baada ya kuhongwa na CCM, upuuzi wako wa kuhubiri matabaka kuwagawa watu ahitakusaidia, nasi tunasema hivi.....

HATA KAMA LOWASSA ATAJITOKEZA KWENYE MEDIA AKASEMA JAMANI KWELI MIE FISADI TUTAJUA AMENUNULIWA NA YEYE KAMA WEWE ULIVYOFIKA BEI, TUTAMCHAGUA TU HATA KAMA HATAKI, NA KURA TUTAZILINDA HADI AAPISHWE!!!

Umekuja kuwa kenge hivi...
Mkuu umesahau sheria ya mitandao ilishaanza kutumika!!??
 
Last edited by a moderator:
Tundu Lisu na Mbatia wasitoe MIPASHO, watoe press ya kujibu hoja za slaa. Watanzania wanazidi kumuelewa slaa kwa ukimya unaozidi kujitokeza kwa ukawa dhidi ya hoja za Dr Slaa.
 
Back
Top Bottom