Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

Status
Not open for further replies.
Kweli wew jamaa noma hujui hata kudannganya. Kwa hiyo unataka kusema muda huu hapa Kimara kuna jua kali linawaka?? labda kama sio Kimara ya dar es Salaam
 
Mbona wingu liko clear hivo? Hiyo sio DSM.. Huoni hali ya umawingu mawingu ya leo? Acheni propaganda.
 
Dar es Salaam leo kuna dalili ya mvua kubwa kunyesha. Nauliza UKAWA wamefunga maturubai na mimi nije kwasababu siko tayari kunyeshewa na mvua kuwasikiliza kina Mbowe wakitunga uongo wa kumsafisha fisadi.
 
Mbona bado? Ikifika jioni nadhani zile 'battery' zitakua hazifanyi kazi tena.
Heheheee, inahuzunisha na kuchekesha pia.

Hii habari ya kutengenezwa ili kudivert attention ya jangwani leo. CCM ni wazuri kwenye propaganda
 
Hii habari ya kutengenezwa ili kudivert attention ya jangwani leo. CCM ni wazuri kwenye propaganda

Hiyo id yako tu imenifanya nikudharau.
Nadhani umeshanielewa, sasa ukileta ubishi tu nasema maana yake kwa wasiojua.
 
Jamaniiiiiiii! Sasa mimi nataka kuja saa 7 nitapata nafasi kweli?
Hebu tupiamo na kapicha mkuu nione hali ikoje.

Usihofu mkuu, nafasi utapata maana naona upande wa Magharibi wametenga Special Zone kwa ajili ya kina mama/jinsia ya kike.

Kwenye zone hiyo kuna nafasi ila huku changanyikeni ukija saa 7 itakula kwako.

Kwa sisi wanaume tunakazi kidogo kupata eneo l;a kusimama leo.
 
Leo ndo siku ambayo ccm inazikwa rasmi mkoa wa dar es salaaam,mark my words comrades
 
Dar es Salaam leo kuna dalili ya mvua kubwa kunyesha. Nauliza UKAWA wamefunga maturubai na mimi nije kwasababu siko tayari kunyeshewa na mvua kuwasikiliza kina Mbowe wakitunga uongo wa kumsafisha fisadi.

Pumbavu!!!!! Bado mtavurugwa sana mwaka huu, mpigie simu "wapigwetu" aongeze vibuyu alete mvua manaake huko kwao naskia ndio kuna mvua zaajabuajabu.

Watu washafanya maombi nawanaendelea na Mungu.
Shame on you.


Toroka uje jangwani ujionee mpango wa Mungu.
 
Usihofu mkuu, nafasi utapata maana naona upande wa Magharibi wametenga Special Zone kwa ajili ya kina mama/jinsia ya kike.

Kwenye zone hiyo kuna nafasi ila huku changanyikeni ukija saa 7 itakula kwako.

Kwa sisi wanaume tunakazi kidogo kupata eneo l;a kusimama leo.

Safi sana. LOWASA, MABADILIKO, MABADILIKO LOWASA. Viva UKAWA .
 
Hivi ni uzinduzi wa kampeni ya Lowassa au kampeni ya Ukawa? Naona Lowassa ni mkubwa kuliko Ukawa na kuliko Chadema. Lakini ni sawa tu maana ndo aliyeandaa hafla sasa anataka asherekewe yeye!
 
Mtachonga saaaaana mwishowe mtakubali na mtakoma na stowaangusha wenu,sasa ngojeni muanguke nae sjui nan atawainua.
 
Pumbavu!!!!! Bado mtavurugwa sana mwaka huu, mpigie simu "wapigwetu" aongeze vibuyu alete mvua manaake huko kwao naskia ndio kuna mvua zaajabuajabu.

Watu washafanya maombi nawanaendelea na Mungu.
Shame on you.


Toroka uje jangwani ujionee mpango wa Mungu.

Wewe ni mnyama tu huwezi kuwa na akili kumshinda binadamu.
 
Usihofu mkuu, nafasi utapata maana naona upande wa Magharibi wametenga Special Zone kwa ajili ya kina mama/jinsia ya kike.

Kwenye zone hiyo kuna nafasi ila huku changanyikeni ukija saa 7 itakula kwako.

Kwa sisi wanaume tunakazi kidogo kupata eneo l;a kusimama leo.

Nashukuru sana Mbowe kwa kuona umuhimu wa usalama wa akina dada na mama zetu.
Sasa nitakuwa huru kwenda kwenye mikutano yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom