Vurugu Kinondoni, Dar: Mabomu yatumika kutuliza ghasia

Status
Not open for further replies.
Yeye Masaburi aende kwanza aulize Muhimbili kwanini hospitali imekufa hali yeye ni mjumbe wa bodi ya hospili hiyo
 
Kuna kundi la watu wanaandamana nimepishana nao hapa Magomeni.Sijui walipoanzia ila naona wanaelekea Mkwajuni nahisi wanaelekea ofisi za CHADEMA.

Wanaimba nyimbo tunajitoa CHADEMA! Slaa kasema kweli!Jamani mliokuwa huko wanapoelekea mnaweza kutupa taarifa zaidi.

Updates:

Naona kuna wengine wanapita walioachwa na spid ya wale wanaokimbia hawa wanatembea tena kimyakimya.

Jioni watarudi LUMUMBA kudai haki zao.Nawashauri vijana mlioandamana najua yote ni njaa ila mtoke hadharani maana adha hiyo ilisababishwa na CCM na leo wanawatumia kama wanavyotaka.Ongeeni ukweli wenu maana utawakomboa kuliko kutumika kwa sababu ya shida zenu zilizosababishwa na CCM.
 
Hao ni wahuni tu wamepeleka kadi mbili CHADEMA makao makuu!!

Kadi zikapokelewa, wakaambiwa haya sasa nendeni tumepokea kadi zetu, wakasema hatuondoki tunamtaka Dr.W.Slaa; wakajibiwa nendeni nyumbani kwake hapa si kwake na sasa si mwanachama. Wakaleta fujo.

Reb Grigate ikachapa mateja hao na kuweka lock up wananne...
 
Last edited by a moderator:
Kama ni kweli tuhakiki kadi zao hao vijana kama kweli ni wachadema wametumwa hao ukawa mbele kwa mbelw
 
Duuh! CCM wameishiwa,,,ila mi nafurahi, wazidi kumpa promo Lowassa,,,jana Lowassa kaonngeza wafuasi wengi

Labda huko kwenu lakini huku Arusha watu wameshafanya maamuzi kuhusu Lowasa,subiri aje halafu utaona hali itakavyokuwa,Slaa alikua ana wafuasi wengi wanaomuamini na jana amehama na watu wake
 
Hao ni wahuni tu wamepeleka kadi mbili CHADEMA makao makuu!!

Kadi zikapokelewa, wakaambiwa haya sasa nendeni tumepokea kadi zetu, wakasema hatuondoki tunamtaka Dr.W.Slaa; wakajibiwa nendeni nyumbani kwake hapa si kwake na sasa si mwanachama. Wakaleta fujo.

Reb Grigate ikachapa mateja hao na kuweka lock up wananne...

Kweli hawakujipanga, hawakumsikia jana alivyosema amejiuzulu toka Julai 28!
 
Wasika LAZIMA waongeze au ili kufanikisha hili dili muhimu la kuisambaratisha CHADEMA, hakuna namna sasa! Lakni wakiwa wanakaa na kuziangalia fedha na kutoa tusenti twa maji tu wakitegemea mabadiliko makubwa, lazima ile kwao mwaka huu. Time gonna tell, soon!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom