mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,218
- 6,650
.kwani hapa Mh Lema anakandamizwa na serikali au mahakama?
Tunatofautiana kwa hiyo sentensi. Mh Lema hajakandamizwa na yeyote si mahakama wala serikali. Anapitia katika taratibu za mahakama kwa shauri lake, kama mashauri mengine ya aina hiyo. Wapo watuhumiwa wengi waliombewa kunyimwa dhamana, mahakama ikakubali au ikakataa
TUACHANE NA MTIZAMO WA KISHABIKI