Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,746
Hakimu alikubali kutoa dhamana akaomba dakika kumi baada ya
kurudi akabatilisha uamuzi wake na kumnyima Lema Dhamana[/QUOT
Hapo itakuwa alienda kupokea maagizo kutoka juu...
Hakimu alikubali kutoa dhamana akaomba dakika kumi baada ya
kurudi akabatilisha uamuzi wake na kumnyima Lema Dhamana[/QUOT
Hapo itakuwa alienda kupokea maagizo kutoka juu...
Kweli lissu should step in.Kamanda lisu asimamie hii case aisee
Vipi, pamechimbika? Oh tutakinukisha bla bla bla. Kikowapi sasa.Zile dakika kumi zilizoombwa na hakimu ndo zimemnyima Lema dhamana.Kwa hiyo kesi imepangwa kuendelea lini tena?
pole sana mkuu inaonyesha jinsi gani wanvyotia hasira kwa kuwanyanyasa wengine hasa wapinzani wa kweliManeno Makali Sana Haya!
Hakimu alikuwa anajivua kimtindo. !Hapa ni kama aliwakumbusha mawakili wa serikali : Hakimu: nimeombwa nizuie dhamana kwa maslahi ya Umma lkn kifungu 148 kinazuia kama DPP ataandika kwa certificate na sijaona certificate ya DPP na Rco sio DPP na kwa maana hiyo Rco hana mamlaka hiyo.
Halafu pesa za kulipia ofisi wanachama wanaambiwa wachange wenyewe.
Siku utakapoelewa maana ya utawala wa Sheria ndipo utakuja na maoni tofauti.Bora arudi lumande aendelee na mfungo wa kuliombea taifa
Pole najua you are such a sentimental and emotional creature ndio maana nakuita huku tuyajengeOraitoo
Kwani wewe unauelewa?? Unauhakika gani siuelew?Siku utakapoelewa maana ya utawala wa Sheria ndipo utakuja na maoni tofauti.
.Zile dakika kumi zilizoombwa na hakimu ndo zimemnyima Lema dhamana.Kwa hiyo kesi imepangwa kuendelea lini tena?
Kweli kabisa mkuu IdawaHakimu alikuwa anajivua kimtindo. !