Baada ya msuguano wa #Posho, Bunge letu maalum la Katiba limepoteza karibu wiki nyingine nzima kubishana kuhusu uamuzi wa kuwa na Kura ya Wazi au Kura ya Siri. Tayari wiki mbili zimepita la Bunge la siku 70 (wiki 7) lakini yaliofanyika ni majadiliano ya Posho na hili la kura.Hili linatuonyesha...
Cheki huyu hapa alivyoshughulikiwa... ONYO! Graphic Video.
Naomba msamaha kwa yeyote ambaye VIDEO hii itamkwaza kwa namna moja ama nyingine.
Kuangalia tukio nzima bofya kwenye link hii hapa.
Profesy's Version: Graphic Video: Mwizi wa Side Mirror akipewa kichapo!
Cheki wakwepa kodi hawa hapa. Ripoti imeandaliwa na
Tanzania Episcopal Conference (TEC)
National Muslim Council of Tanzania (BAKWATA)
na Christian Council of Tanzania (CCT)
Select examples of the use of tax havens by TNCs operating in Tanzania
Vodacom
Vodacom Tanzania Ltd has a 42 per cent...
Cable Viewer
Fuata link hiyo hapo juu
================
Inayoshtua ni hii:
Lakini Ikulu imetoa ufafanuzi huu: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/169835-tanzania-denies-president-bribe-claims-in-u-s-cable.html
John Vidal and Claire Provost
guardian.co.uk, Wednesday 8 June 2011 20.18 BST
larger | smaller
US universities are reportedly using endowment funds to make deals that may force thousands from their land in Africa. Photograph: Boston Globe via Getty Images
Harvard and other major American...
Tanzania MPs to block $20m payment to Indian firm Share Bookmark Print Email Rating
A railway engine belonging to the Tanzania Railways. Photo/FILE
By MIKE MANDE
Posted Monday, May 9 2011 at 00:00...
Wakuu sijui wangapi waliangalia taarifa ya habari jana kwenye ITV lakini kinachoendelea Iringa ndio hii hapa baada ya matatizo ya maji huko.
Eti huyu jamaa alikua hataki watu wachote maji kwa hio akamwaga mafuta (crude oil) ndani ya kisima.
WAS AIDS MAN-MADE? by Eric Taylor
ewwtaylor@adelphia.net
PITTSBURGH Brotherly Lovers Of Original Democracy, founded 1994 in Philadelphia to spearhead a class action lawsuit against Uncle Sam for bio-enginering AIDS, has collected over 3,000 signatures from all 50 United States. Witnessing...
source - Habari Leo
Kikwete aahidi kutokomeza malaria kwa kuua mbu kila nyumba
Imeandikwa na Mgaya Kingoba, Musoma;
Tarehe: 26th September 2010
MKOA wa Mara utaanza kampeni ya kunyunyizia dawa ya kuua mbu katika nyumba zake zote kuanzia Oktoba mosi, mwaka huu katika jitihada za serikali...
Habari nilizoona kwenye Taarifa ya habari ni kwamba eti kuna mwandishi wa habari ambaye amepigwa na Wafuasi wa CCM kule Kwimba wakati wa kampeni zao. Nani labda ana habari zaidi?
Hii ndio title ya story iliokuepo jana kwenye Mwananchi ikawa inaelezea video moja inaonyesha vikao vya kisiri vinavyofanywa na CCM kupanga mikakati ya kushinda kwa njia yeyote hata kwa kumwaga damu pamoja na silaha walizoagiza na nyaraka za siri zilizochapishwa kwenye karatasi za mikakati hiyo...
Wazee cheki mama Bhutto alivyokua hai akawaambia Al Jazeera kumbe kwamba Bin Laden tayari amefariki. Kwa hio hizo kanda wanazotutangazia kwenye BBC na CNN inawezekana ni uzushi tu. Amueni wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.