CCM ndo wameanza kupiga risasi ya kwanza.is this true? Niambieni CCM inavuruga amani aliyotuachia baba wa taifa? inataka kumwaga damu kwa manufaa ya nani? watanzania tuwe macho
Mgombea wa CCM jimbo la Kwimba ni SHARIF MANSOOR
Ambaye ni;
1. Mweka Hazina wa CCM mkoa wa Mwanza
2. Mmiliki wa vituo vya Mafuta kikiwemo kilichovunjwa na Magufuli barabara ya Makongoro kisha Serikali ikaamriwa kulipa mabilioni ya fidia
3.Ndio mfadhili mkuu wa ziara za viongozi wa kitaifa/CCM kwa kuchangia gharama za Chakula na mengineyo kutoka mfukoni mwake
4. Ni M burushi
5.
6.
7.
Kama sikosei mgombea kule wa Chadema ni Letisia Nyerere na habari zilizopo ni kuwa anakubalika.Vipi nafasi ya chadema hapo ngudu
Makamba ni baba wa mtu kwa hio sitamuita majina kwa sasa. Lakini kwa kweli kuropoka ropoka itamcost. Alafu jamaa eti ataki watu waende kwenye debates? Yani hapo ndio amewanyima wanachama demokrasia nakuonyesha kwamba wana - CCM wana something to hide (maybe ignorance or failure to respond) atuwezi jua. Na walisema Slaa political suicide, kukwepa mdahalo ndio political suicide nakwambia.Nadhani sasa wameanza kutekeleza kauli ya Kibweka wao Mwehu Yusufu Makamba ambaye mpaka leo anaota et Ushindi kwa CCM ni lazima! Sijui huyo mzee naye ubongo wake unaoperate kweli vizuri,nahisi atakua na matatizo aliyoyapata kipindi yupo Jeshin!
Sasa wameanza kupitisha Bakola kwa wanyonge watetezi na wawakilishi wetu wanaotuletea habari juu ya uozo wa ccm!.
Si ajabu Makamba akatoa kauli kuwa ni Marufuku kwa Mwandishi wa habari kushiriki kampeni za CCM!Mtasikia akisema-
"Ni marufuku kwa Mwandishi wa habari yeyote kufuata msafara wa Mgombea wao Jk"unless awe ameruhusiwa na CCM.
Wana CCM mfungeni Makamba kamba mdomon anawaibisha,kauli zake na maamuzi yake yamewaponza mpaka mnazomewa kama watoto!.Ama kweli Mfa maji hakosi kutapatapa!Na hasira za mkizi furaha kwa Kunguru!.Kwani sisi tunaendelea kupeta...lane::car::flypig:
Poleni ndugu zangu waandishi kwa adha Mnayoipata,ila msikate tamaa Mungu atawatia nguvu!
PEOPLE'S........................!!!!!!!!!!!!!POWER!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:cheer2::cheer2::yell::high5:
Alafu ulimuona kiherehere wa CCM Dar aliingia kampeni za CHADEMA kitdogo afumuliwe na wafuasi. Wanatafutaga watu hawa.Nimeona kwenye taarifa ya tbc. Ni yule mwandishi wa mwananchi. Kapigwa kwa amri ya walinzi wa sisi m. Na nimeona aliyetoa amri kwamba mwandishi huyo wa gazeti la mwananchi apigwe kawekwa ndani akisubiri kufunguliwa mashitaka.
LoyalTzCitizenWatapewa ubunge na ubalozi hao!! Don't joke with JK!!
Hapana ilikuwa ni Iringa pale kwenye stand ya mabasi ya Ipogolo. Sisi m kwa kukos sera sasa wana kiwewe na wanatafuta kuleta uvunjifu wa amani kila mahali katika nchi hii.Alafu ulimuona kiherehere wa CCM Dar aliingia kampeni za CHADEMA kitdogo afumuliwe na wafuasi. Wanatafutaga watu hawa.