Ndugu zangu natarajia kujenga josho kwa ajili ya kuogeshea mifugo yangu ipatayo Ng’ombe 300 na mbuzi 600.hivyo naomba mwenye ramani pamojana mahitaji ya ujenzi ili niweze kuitimiza ndoto hii.Kimsingi lichen ya kulitumia mwenyewe,nategemea pia kuliendesha kibiashara kwa kuoshea pia mifugo ya...
Wakuu nahitaji kununua mashine ya kufulia nguo lakini nshindwa kujua brand ipi iliyoimara.nataka nimpumzishe shemeji yenu na vurugu za kufua naomba mnifahamishe aina gani iliyo bora na imara
Okay.Sasa kama we umeona haufai ndo unataka kuhamishia kwa wengine.Jifunze kubana matumizi kijana,we usawa huu unafanya matumizi ya mamiziki kwenye magari.nyie ndio tunao watafuta
Acha kuhangaika kijana,nenda kisesa jirani na Nyumba za Watumishi Housing,kakamate kiwanja pale kwa bei ya serikali,muone jamaa anaitwa Ali 0622 323 333.hakuna longo longo wala udalali
Nauza kiwanja eneo la kibada Block 7,kina ukubwa wa squremeter 1350 kimepakana na eneo la NSSF,Kimepimwa na kina hati,anae hitaji tafadhali ani PM au awasiliane kwa namba 0654274004.
ILIKUWA Mei 21,1996 katika ziwa Victoria, meli ya MV Bukoba ilipata ajali baada ya kupinduka na kuzama na hivyo kupelekea zaidi ya watu 800 kupoteza maisha. Meli hiyo ilizama ikiwa imebakiza takribani kilomita 30 kutia nanga kwenye bandari ya Jiji la Mwanza ikitokea mkoani Kagera.Jumamosi ya...
Pigia huyu Jamaa,ni geologist,anafanya kazi maji ubungo na ana kampuni ya uchimbaji,kanichimbia kwangu 0713214724,anachimba,anapima maji na anakushauri,sio kuchimbachimba tu,maji ni very delicate product,vinginevyo utaingia chaka ujute.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.